Hivi kuna ndege imeshatua Chato tangu baada ya mazishi?

Hivi kuna ndege imeshatua Chato tangu baada ya mazishi?

Mbona mimi nipo kwenye wilaya ina uwanja wa ndege na inatua siku moja moja kuleta madawa ya hospital mbona hamlalamiki punguzeni unafiki na utundulisu wa kupinga kupinga kila kitu
Mhhh mbona Tundu Lisu aliwahi msifia JK. Au hukumbuki?
 
Ule uwanja ukitumika tena nichinjeni..hivi kuna mtu kule anaweza kupanda ndege
 
"Hivi hapa wapi vile? Angekuwepo Siti karibu hapa angenitajia!" ananong'onezwa na kukumbushwa panaitwa Chato - anaitikia kwa nguvu "CHATOOO!"

Eti jamani hivi kuna ndege ambayo ishatua Uwanja wa Kimataifa wa Chato tangu baada ya msiba? Na kama ipo ilipeleka huduma gani?

Inasemakana pia hata wale twiga waliopelekwa kule Hifadhi ya Burigi na baadhi ya wanyama kama hao wengi wao wamekufa kutokana na kutoendena na ikolojia!
Wanatua bundi pale kila siku.
 
Mbona mimi nipo kwenye wilaya ina uwanja wa ndege na inatua siku moja moja kuleta madawa ya hospitali, mbona hamlalamiki punguzeni unafiki na utundulisu wa kupinga kupinga kila kitu
Kuna kambi ya wakimbizi? MSD hii ilete dawa kwa ndege au msaada wa chanjo ya covid 19?
Umedanganya
 
"Hivi hapa wapi vile? Angekuwepo Siti karibu hapa angenitajia!" ananong'onezwa na kukumbushwa panaitwa Chato - anaitikia kwa nguvu "CHATOOO!"

Eti jamani hivi kuna ndege ambayo ishatua Uwanja wa Kimataifa wa Chato tangu baada ya msiba? Na kama ipo ilipeleka huduma gani?

Inasemakana pia hata wale twiga waliopelekwa kule Hifadhi ya Burigi na baadhi ya wanyama kama hao wengi wao wamekufa kutokana na kutoendena na ikolojia!

Binadamu Ukifa na Thamani yako Inakufa pia. Hii ni nadharia nyepesi sana tu ya Saikolojia ya Mwanadamu.

Ili uamini angalia baada ya Kesho ( Siku zake 21 ) za Kumuomboleza zikiisha uone kama Watanzania watapoteza muda wao Kumkumbuka

Tena kuna Watu fulani ( kutoka huko huko Serikalini ) wamepanga baada tu ya Kesho watafanya Sherehe ( Party ) ya maana tu.

Nimewauliza kulikoni jibu walilonipa tu ni kwamba Kipindi cha Manyanyaso Kwao Kimeisha na Mama atawabembeleza vizuri.
 
"Hivi hapa wapi vile? Angekuwepo Siti karibu hapa angenitajia!" ananong'onezwa na kukumbushwa panaitwa Chato - anaitikia kwa nguvu "CHATOOO!"

Eti jamani hivi kuna ndege ambayo ishatua Uwanja wa Kimataifa wa Chato tangu baada ya msiba? Na kama ipo ilipeleka huduma gani?

Inasemakana pia hata wale twiga waliopelekwa kule Hifadhi ya Burigi na baadhi ya wanyama kama hao wengi wao wamekufa kutokana na kutoendena na ikolojia!
Ndege John wanatua sana pale.
 
"Hivi hapa wapi vile? Angekuwepo Siti karibu hapa angenitajia!" ananong'onezwa na kukumbushwa panaitwa Chato - anaitikia kwa nguvu "CHATOOO!"

Eti jamani hivi kuna ndege ambayo ishatua Uwanja wa Kimataifa wa Chato tangu baada ya msiba? Na kama ipo ilipeleka huduma gani?

Inasemakana pia hata wale twiga waliopelekwa kule Hifadhi ya Burigi na baadhi ya wanyama kama hao wengi wao wamekufa kutokana na kutoendena na ikolojia!
Lile pori la Burigi inabidi libadilishwe tena lirudi kuwa Pori Tengefu kama hapo awali maana linatumia bajeti kubwa wakati halaliingiziii taifa hata sh.kumi. Hakuna matalii wa kwenda kwenye hiyo hifadhi ambayo hakuna hata wanyama
 
Kama ningekuwa CEO wa ATCL kwa kwa kweli nisingekwenda viwanja vifuatavyo;
1. Chato
2. Mpanda/ Katavi
3. Songea
4. Iringa
5. Shinyanga

Ukisikia CAG anasema kwa mahesabu ya 2019/21, ATCL imepata loss ya Tsh 60 Bilion, ujue sababu ni kwenda kwenye viwanja vya peripheral.

FAST JET walioperate kwa faida kwa kwenda Mwanza, Kilimanjaro na Mbeya tu.

Hakuna haja ya kwenda kwenye mikoa kwa ajili ya kuwaridhisha wanasiasa. Huu siyo mwenge wa uhuru, bali ni biashara ambayo lazima izalishe faida
HATIMAYE ATCL tunaongea lugha moja Screenshot_20210409-163128.png
 
chato punda na wanyama wa nyumbani na watu baadhi wamejeruhiwa na kuuliwa na imported wanyama toka serengeti hawaendani na ecology wengine wametorokea akagera national park rwanda..its just a matter of time tutayapata ya kweli toka chato
 
Ule uwanja ukitumika tena nichinjeni..hivi kuna mtu kule anaweza kupanda ndege
Uwanja unatumika na ndege ya ATCL hutua uwanja wa Ndege wa Chato siku za Jumatatu, Alhamisi na Jumamosi

Karibu Chato
 
Back
Top Bottom