Halafu watu walikuwa wanasema jamaa ana maono.
Nakumbuka kipindi Msuya Ni waziri mkuu, mji wa Mwanga ulipewa upendeleo wa hali ya juu. Mwanga kulikua na simu za STD wakati Sumbawanga na Songea ambayo Ni miji ya mikoa kulikua hakuna hiyo huduma (kwa wanangu simu ya STD Ni Ile ambayo unapiga moja kwa moja bila kumuomba operator )
Jengo la NSSF Mwanga lilikua Ni zaidi ya majengo ya mikoa. Lakini Kiko wapi. Mwanga mpaka saa hii Ni Kijiji tu hata stendi hakina.
Nakumbuka kipindi Msuya Ni waziri mkuu, mji wa Mwanga ulipewa upendeleo wa hali ya juu. Mwanga kulikua na simu za STD wakati Sumbawanga na Songea ambayo Ni miji ya mikoa kulikua hakuna hiyo huduma (kwa wanangu simu ya STD Ni Ile ambayo unapiga moja kwa moja bila kumuomba operator )
Jengo la NSSF Mwanga lilikua Ni zaidi ya majengo ya mikoa. Lakini Kiko wapi. Mwanga mpaka saa hii Ni Kijiji tu hata stendi hakina.