Hivi kuna ndege imeshatua Chato tangu baada ya mazishi?

Hivi kuna ndege imeshatua Chato tangu baada ya mazishi?

Halafu watu walikuwa wanasema jamaa ana maono.
Nakumbuka kipindi Msuya Ni waziri mkuu, mji wa Mwanga ulipewa upendeleo wa hali ya juu. Mwanga kulikua na simu za STD wakati Sumbawanga na Songea ambayo Ni miji ya mikoa kulikua hakuna hiyo huduma (kwa wanangu simu ya STD Ni Ile ambayo unapiga moja kwa moja bila kumuomba operator )
Jengo la NSSF Mwanga lilikua Ni zaidi ya majengo ya mikoa. Lakini Kiko wapi. Mwanga mpaka saa hii Ni Kijiji tu hata stendi hakina.
 
Halafu watu walikua wanasema jamaa ana maono.
Nakumbuka kipindi Msuya Ni waziri mkuu mji wa Mwanga ulipewa upendeleo wa Khali ya juu. Mwanga kulikua na simu za STD wakati Sumbawanga na Songea ambayo Ni miji ya mikoa kulikua hakuna hiyo huduma (kwa wanangu simu ya STD Ni Ile ambayo unapiga moja kwa moja bila kumuomba operator )
Jengo la NSSF Mwanga lilikua Ni zaidi ya majengo ya mikoa. Lkn Kiko wapi. Mwanga mpaka saa hii Ni Kijiji tu hata stendi hakina.
Kumbe tuna case study nzuri kabisa! Hata Hedaru kwetu ninaona inasonga mbele Zaidi ya Mwanga!
 
Ipo ndege pale ya kunyunyiza viwatilifu inasubiri uvamizi wa makundi ya nzige
 
"Hivi hapa wapi vile? Angekuwepo Siti karibu hapa angenitajia!" ananong'onezwa na kukumbushwa panaitwa Chato - anaitikia kwa nguvu "CHATOOO!"

Eti jamani hivi kuna ndege ambayo ishatua Uwanja wa Kimataifa wa Chato tangu baada ya msiba? Na kama ipo ilipeleka huduma gani?

Inasemakana pia hata wale twiga waliopelekwa kule Hifadhi ya Burigi na baadhi ya wanyama kama hao wengi wao wamekufa kutokana na kutoendena na ikolojia!
Unataka ndege itue kufanya nini sasa hayo majungu kiongozi
 
Hilo liuwanja Lina faida gani kwa nchi na watu wa chato? Acha mawazo mgando kwani ungekuwa mwanza Nani angepinga?
Mbona mimi nipo kwenye wilaya ina uwanja wa ndege na inatua siku moja moja kuleta madawa ya hospitali, mbona hamlalamiki punguzeni unafiki na utundulisu wa kupinga kupinga kila kitu
 
Hizo activities kweli zipo Iringa je vipi ukiangalia na usafiri mbadala wa kwenda Iringa? Yaani Iringa ni kati ya mikoa inayofikika kirahisi kwa usafiri wa barabara kutoka Dar na Dodoma. Kiasi kwamba hata mabasi yanakuwa competitor wa ATCL.

At the end of the day unaangalia Je kuna abiria 24 wa kwenda Iringa ambao ni 40% ya uwezo wa Bombardier watakaokupa break even revenue??

Kinyume cha hapo ATCL itakuwa charity airline
Well, kama kuna bombardier inaenda Dodoma na inaenda Songwe why isichukue na abiria 24 wa Iringa🤷
 
Mbona mimi nipo kwenye wilaya ina uwanja wa ndege na inatua siku moja moja kuleta madawa ya hospital mbona hamlalamiki punguzeni unafiki na utundulisu wa kupinga kupinga kila kitu
Huo uwanja wa Wilayani kwenu una ukubwa gani? Umejengwa kwa gharama ya sh ngapi? Ukilinganishwa na wa Chato ambayo tangu ipewe wilaya hata miaka 10 bado. Mkuu uwe unajielewa siyo kuunga mkoni kila kitu hata kwenye mambo ya kijinga yanayoligharimu Taifa.

Ebu angalia ule uwanja umejengwa gizani, bunge halijui gharama zilizotumika na utaratibu wa kumpata mkandarasi na liuwanja lenyewe runway yake sawa na wa DSM
 
"Hivi hapa wapi vile? Angekuwepo Siti karibu hapa angenitajia!" ananong'onezwa na kukumbushwa panaitwa Chato - anaitikia kwa nguvu "CHATOOO!"

Eti jamani hivi kuna ndege ambayo ishatua Uwanja wa Kimataifa wa Chato tangu baada ya msiba? Na kama ipo ilipeleka huduma gani?

Inasemakana pia hata wale twiga waliopelekwa kule Hifadhi ya Burigi na baadhi ya wanyama kama hao wengi wao wamekufa kutokana na kutoendena na ikolojia!
Air Tanzania inakwenda mara tatu kwa wiki. Leo Jumatatu ndege 5H TCD imekwenda kama flight TC 131 ikielekea Mwanza kupitia Chato na saa saba mchana ilikuwa imetua.
 
Well, kama kuna bombardier inaenda Dodoma na inaenda songwe why isichukue na abiria 24 wa iringa🤷
Hiyo fuel cost na landing charges za Dodoma -Iringa bado mathematics don't add up
 
e9bebc73d21276f88e0c165e63bf79be.jpg
 
Back
Top Bottom