Mhhh mbona Tundu Lisu aliwahi msifia JK. Au hukumbuki?Mbona mimi nipo kwenye wilaya ina uwanja wa ndege na inatua siku moja moja kuleta madawa ya hospital mbona hamlalamiki punguzeni unafiki na utundulisu wa kupinga kupinga kila kitu
Well, umenishinda kwa hoja 🤝Hiyo fuel cost na landing charges za Dodoma -Iringa bado mathematics don't add up
Wanatua bundi pale kila siku."Hivi hapa wapi vile? Angekuwepo Siti karibu hapa angenitajia!" ananong'onezwa na kukumbushwa panaitwa Chato - anaitikia kwa nguvu "CHATOOO!"
Eti jamani hivi kuna ndege ambayo ishatua Uwanja wa Kimataifa wa Chato tangu baada ya msiba? Na kama ipo ilipeleka huduma gani?
Inasemakana pia hata wale twiga waliopelekwa kule Hifadhi ya Burigi na baadhi ya wanyama kama hao wengi wao wamekufa kutokana na kutoendena na ikolojia!
Eheeeeee?Wanatua bundi pale kila siku.
Sasa utakaaje nje ya uwanja na wakat ndege hazitui unagonjea nn SasaAcha upuuzi mi ni dereva tax hapa nje ya uwanja hakuna ndege hata moja ishatua Acha upuuzi
Kuna kambi ya wakimbizi? MSD hii ilete dawa kwa ndege au msaada wa chanjo ya covid 19?Mbona mimi nipo kwenye wilaya ina uwanja wa ndege na inatua siku moja moja kuleta madawa ya hospitali, mbona hamlalamiki punguzeni unafiki na utundulisu wa kupinga kupinga kila kitu
Labda kambi ya wakimbiziKuna kambi ya wakimbizi? MSD hii ilete dawa kwa ndege au msaada wa chanjo ya covid 19?
Umedanganya
Ungekuwa umekamilika ule mwili ungeenda kwa gari halafu urudi mwanza kwa ndege urudi tena kwa reli, acha tu wiki nyingine ingesogezwaKumbe uwanja haujakamilika?
Mmeshindikana nyie watu , mnatupa raha sana na tunaongeza siku za kuishi kwenye hinchi ya huchumi wa katikati ya kitovuni chattle
"Hivi hapa wapi vile? Angekuwepo Siti karibu hapa angenitajia!" ananong'onezwa na kukumbushwa panaitwa Chato - anaitikia kwa nguvu "CHATOOO!"
Eti jamani hivi kuna ndege ambayo ishatua Uwanja wa Kimataifa wa Chato tangu baada ya msiba? Na kama ipo ilipeleka huduma gani?
Inasemakana pia hata wale twiga waliopelekwa kule Hifadhi ya Burigi na baadhi ya wanyama kama hao wengi wao wamekufa kutokana na kutoendena na ikolojia!
Ndege John wanatua sana pale."Hivi hapa wapi vile? Angekuwepo Siti karibu hapa angenitajia!" ananong'onezwa na kukumbushwa panaitwa Chato - anaitikia kwa nguvu "CHATOOO!"
Eti jamani hivi kuna ndege ambayo ishatua Uwanja wa Kimataifa wa Chato tangu baada ya msiba? Na kama ipo ilipeleka huduma gani?
Inasemakana pia hata wale twiga waliopelekwa kule Hifadhi ya Burigi na baadhi ya wanyama kama hao wengi wao wamekufa kutokana na kutoendena na ikolojia!
Lile pori la Burigi inabidi libadilishwe tena lirudi kuwa Pori Tengefu kama hapo awali maana linatumia bajeti kubwa wakati halaliingiziii taifa hata sh.kumi. Hakuna matalii wa kwenda kwenye hiyo hifadhi ambayo hakuna hata wanyama"Hivi hapa wapi vile? Angekuwepo Siti karibu hapa angenitajia!" ananong'onezwa na kukumbushwa panaitwa Chato - anaitikia kwa nguvu "CHATOOO!"
Eti jamani hivi kuna ndege ambayo ishatua Uwanja wa Kimataifa wa Chato tangu baada ya msiba? Na kama ipo ilipeleka huduma gani?
Inasemakana pia hata wale twiga waliopelekwa kule Hifadhi ya Burigi na baadhi ya wanyama kama hao wengi wao wamekufa kutokana na kutoendena na ikolojia!
HATIMAYE ATCL tunaongea lugha mojaKama ningekuwa CEO wa ATCL kwa kwa kweli nisingekwenda viwanja vifuatavyo;
1. Chato
2. Mpanda/ Katavi
3. Songea
4. Iringa
5. Shinyanga
Ukisikia CAG anasema kwa mahesabu ya 2019/21, ATCL imepata loss ya Tsh 60 Bilion, ujue sababu ni kwenda kwenye viwanja vya peripheral.
FAST JET walioperate kwa faida kwa kwenda Mwanza, Kilimanjaro na Mbeya tu.
Hakuna haja ya kwenda kwenye mikoa kwa ajili ya kuwaridhisha wanasiasa. Huu siyo mwenge wa uhuru, bali ni biashara ambayo lazima izalishe faida
Uwanja unatumika na ndege ya ATCL hutua uwanja wa Ndege wa Chato siku za Jumatatu, Alhamisi na JumamosiUle uwanja ukitumika tena nichinjeni..hivi kuna mtu kule anaweza kupanda ndege
HahahahhahahahahahahaaaaNashauri uwanja usiguswe, tutaanikia michembe hapo....