Hivi kuna ndege imeshatua Chato tangu baada ya mazishi?

Hivi kuna ndege imeshatua Chato tangu baada ya mazishi?

"Hivi hapa wapi vile? Angekuwepo Siti karibu hapa angenitajia!" ananong'onezwa na kukumbushwa panaitwa Chato - anaitikia kwa nguvu "CHATOOO!"

Eti jamani hivi kuna ndege ambayo ishatua Uwanja wa Kimataifa wa Chato tangu baada ya msiba? Na kama ipo ilipeleka huduma gani?

Inasemakana pia hata wale twiga waliopelekwa kule Hifadhi ya Burigi na baadhi ya wanyama kama hao wengi wao wamekufa kutokana na kutoendena na ikolojia!
Wewe ni mchokozi!!!!
 
Gbadolite Chato Airport hiyo mpaka Dec 2021 majani yatakuwa hadi kwenye barabara za ndege.
 
Ndege itue Chato kufanya nini? Soon huo uwanja utageuka machungio ya Ng'ombe na Mbuzi!🤣🤣🤣
 
Sasa tofauti ni nini kwenye wao kuendelea kuwepo? Kwanini bado wanaendelea?
Airline industry ni ngumu sana kuandika kwa maneno machache hapa. Ila nikikuambia wanapata hasara kumbuka risk inakwenda kwa majority shareholder. Sisi ATCL ambayo ni 100% Government owned risk itakuja kwa Serikali ambayo itatumia Kodi zetu. Namna nzuri ya kutumia kodi zetu ni kuwekeza kwenye elimu, afya, maji na miundombinu na si kulipia hasara ya ATCL.
 
Ndege zinatua Chato kama kawaida. Dar-Geita-Mwanza-Dar. Mondays, Thursdays & Fridays
Kama bado zinatua Chato basi Lasislaus Matindi ni mburula. CAG report ya 2019/20 inapswa iwe ndiyo mwogozo wake.

Anyway kama anasubiri aambiwe na Rais au Waziri, ajue hana kazi muda si mrefu.
 
Kuna haja ya kuufanyia mahesabu uwanja wa Chato tuone ni ndege ngapi za kimataifa zinatua pale kwa mwezi na kwa mwaka ili tuone hivi kweli kulikuwa na umuhimu wa kuwa na uwanja wa ndege wa kimataifa Chato? Hii itasaidia kubadilisha mtazamo wa Mataga ili tusiwe watu wakusifu tu hata kama n jambo la kijinga.
 
Airline industry ni ngumu sana kuandika kwa maneno machache hapa. Ila nikioikuambia wanapata hasara kumbuka risk inakwenda kwa majority shareholder. Sisi ATCL ambayo ni 100% Government owned risk itakuja kwa Serikali ambayo itatumia Kodi zetu. Namna nzuri ya kutumia kodi zetu ni kuwekeza kwenye elimu, afya, maji na miundombinu na si kulipia hasara ya ATCL.
Umeandika kama vile sijaelewa kabisa kama kuna hasara inapatikana, anyway tayaache hayo. Kweli hii ni mada pana sana na ndio maana hata ule mfano wako wa Fastjet haukuwa sahihi kwani ile ni airline ambayo ni LCC. Na pia inatoka nje ya nchi na ni rahisi kwao ku-target kaeneo/ route moja yenye faida bila kujali mengine.

Nisikuchoshe sana, msingi wa hoja yangu ni hivi, solution sio kutowekeza kwenye airline business na kuwanyima watu huduma hiyo kabisa, bali kuangalia maeneo ambayo ni vyanzo vya hasara ya biashara. Nilitaja machache, aina za ndege ziendane na operations husika/( mfano huwezi kupata hasara kwa kwenda Iringa kwa kutumia Bombardier Q 300) au kuangali suala la kuwa na Dreamliner kama haina route, gharama na maintenance kwa kuwekeza kuwa na wataalamu wa ndani na effective management kwa ujumla. Hivi vyote viwe kwenye mpango wa biashara.

Lengo iwe pia kutumia Airline kuwezesha sector nyingine za kiuchumi, i.e tourism. Fastjet hawawezi kuwa na malengo kama hayo.
Mwisho wa siku kila anayefanya biashara hii anajua ni biashara yenye faida ndogo ( small marginal profit).
Hatahivyo, mbona wenzetu wanawekeza kwenye hicho kilimo na wana ndege?!?
 
Nasikia eti Ilipeleka mbao na matofali pamoja na mifuko ya cement kwa ajili ya kuendeleza ujenzi wa uwanja wa kimataifa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sio kujengea kaburi ?
 
"Hivi hapa wapi vile? Angekuwepo Siti karibu hapa angenitajia!" ananong'onezwa na kukumbushwa panaitwa Chato - anaitikia kwa nguvu "CHATOOO!"

Eti jamani hivi kuna ndege ambayo ishatua Uwanja wa Kimataifa wa Chato tangu baada ya msiba? Na kama ipo ilipeleka huduma gani?

Inasemakana pia hata wale twiga waliopelekwa kule Hifadhi ya Burigi na baadhi ya wanyama kama hao wengi wao wamekufa kutokana na kutoendena na ikolojia!
We huna akili kwa taarifa yako kila siku ndege inatua
 
Kama ningekuwa CEO wa ATCL kwa kwa kweli nisingekwenda viwanja vifuatavyo;
1. Chato
2. Mpanda/ Katavi
3. Songea
4. Iringa
5. Shinyanga

Ukisikia CAG anasema kwa mahesabu ya 2019/21, ATCL imepata loss ya Tsh 60 Bilion, ujue sababu ni kwenda kwenye viwanja vya peripheral.

FAST JET walioperate kwa faida kwa kwenda Mwanza, Kilimanjaro na Mbeya tu.

Hakuna haja ya kwenda kwenye mikoa kwa ajili ya kuwaridhisha wanasiasa. Huu siyo mwenge wa uhuru, bali ni biashara ambayo lazima izalishe faida
Unasema kweli Fast Jet walikatisha safari ya Shinyanga abiria wakawa wanaenda wanapandia Mwanza wanaorudi Shinyanga wanaletwa na basi Lao maalumu toka Mwanza. Ndege inatua na kuchukua au kuleta watu wawili. Hiyo ni biashara au bangi?.
 
Mkuu achana na ushabiki hata huipendi CCM na Chato kwa ujumla kaa kimya.
Ndege si kutua tu bali zinafanya safari yake Chato to Dar kwa wiki mara mbili.
Karibu Chato mkuu
Tuamini yupi? Mmoja mara mbili mwingine mara tatu tupe ratiba toka ATCL.
 
Back
Top Bottom