Hivi kuna ofisi ina urasimu na usumbufu kushinda ardhi?

Hivi kuna ofisi ina urasimu na usumbufu kushinda ardhi?

Wakuu
Nimefanya maombi ya hati ya ardhi mwaka wa pili unakatika. Kutoka dawati moja kwenda lingine faili linaweza kutumia miezi mitatu!

Nyie experience zenu zikoje na hizi ofisi za ardhi?
Nilinunua nyumba Mwananyamala Wakili Msomi wangu akatayarisha nyaraka za kubadili hati ya umiliki kufika ardhi Kinondoni wakazikataa 🙄.
Muhusika akasema jiongeze tumalize jambo akadai m4 nikatoa baada ya miezi mitatu nikapata hati wizarani.
Ukifika polisi, mahakamani, hospital kwa kufanyiwa upasuji wa uzazi na ajira TAMISEMI nchi mazee jiongeze hakuna haki nchi hii.
 
Write your reply...WTAJ0WAJE NIPO KAZINI HUKUKUNA TAABU NA VIONGOZI HAWAZION. NAONA KAMA NI MAZINGIRA YAO YA KUPIGA. POLE
 
Kiukweli urasimu ni mkubwa sana. Wanatumia loophole ya watu kutokujua utaratibu wa masuala ya ardhi kutengeneza mazingira ya kuchelewesha huduma ili utoe kitu kidogo.
Hivi nawezaje kupata hati bila kutoa hongo?,ni utaratibu upi wakufuatwa,maana hizi ni fani mjue,si kila mtu aweza kujua,mfano daktari kutojua mambo ya aridhi si ajabu.
 
Wakuu
Nimefanya maombi ya hati ya ardhi mwaka wa pili unakatika. Kutoka dawati moja kwenda lingine faili linaweza kutumia miezi mitatu!

Nyie experience zenu zikoje na hizi ofisi za ardhi?
Ndio
Taasisi, mashirika na wizara zote serikalini 👺👿😠😡😤🤬🥹
 
Watu wanatengeneza ulaji jmn pia kiongozi mkuu aliwai kusema kila mtu atakula kutokana na urefu wa kamba yake wacha watu wale
 
Pole sana aisee, niliomba hati toka Mwaka Jana pale Newala, form zangu walisema zimepotea, imenibidi nianze upya
 
Wakuu
Nimefanya maombi ya hati ya ardhi mwaka wa pili unakatika. Kutoka dawati moja kwenda lingine faili linaweza kutumia miezi mitatu!

Nyie experience zenu zikoje na hizi ofisi za ardhi?
inategemea mkoa kwa mkoa hapa mwanza kama una nyaraka zote hatinunaipata baada ya mwezi mmoja tu
 
Hakuna watu pasua kichwa kama idara ya aridhi,tatizo kuna mikono ya wengi,takukuru sijui wako wapi kuwadhibiti hawa jamaa?,hadi jalada la kuiweka hiyo hati inatakiwa kulipia!!!,huwa nashangaa ati, wakati kwa mjibu wa utafiti,watu wote wakupewa hati serikali inaweza kuingiza mapato mengi sana kwa kukusanya kodi ya aridhi na nchi ikapiga hatua kubwa tu,kimaendeleo.
Watawala wanajua vyanzo vya mapato ni mikopo tu
 
Hivi nawezaje kupata hati bila kutoa hongo?,ni utaratibu upi wakufuatwa,maana hizi ni fani mjue,si kila mtu aweza kujua,mfano daktari kutojua mambo ya aridhi si ajabu.
Sio kwamba kila anayetoa hongo ili apate hati anakuwa hajafata utaratibu. Isipokuwa anatoa ili apate hati haraka.

Utaratibu wakupata hati ni huu
  • Kiwanja kiwe kwenye ramani ya mipango miji ( Town Planning Drawing)
  • Kiwanja kiwe kimepimwa (Survey Plan)
  • Uwe na mkataba wa mauziano
  • Kuna form namba 92 inabidi ijazwe pia na majirani wote unaopakana nao wasaini
  • Then mwanasheria atasaini baadhi docs.
  • Ukishakuwa na hizi document zote unazipeleka halmashauri kwa ajili ya mchakato wa kupata hati.
  • Kuna bills utapewa na halmashauri. Note: Hizi bills zinategemea na ukubwa wa kiwanja na pia matumizi ya kiwanja.
 
Sio kwamba kila anayetoa hongo ili apate hati anakuwa hajafata utaratibu. Isipokuwa anatoa ili apate hati haraka.

Utaratibu wakupata hati ni huu
  • Kiwanja kiwe kwenye ramani ya mipango miji ( Town Planning Drawing)
  • Kiwanja kiwe kimepimwa (Survey Plan)
  • Uwe na mkataba wa mauziano
  • Kuna form namba 92 inabidi ijazwe pia na majirani wote unaopakana nao wasaini
  • Then mwanasheria atasaini baadhi docs.
  • Ukishakuwa na hizi document zote unazipeleka halmashauri kwa ajili ya mchakato wa kupata hati.
  • Kuna bills utapewa na halmashauri. Note: Hizi bills zinategemea na ukubwa wa kiwanja na pia matumizi ya kiwanja.
Hiki ndio chanzo Cha tatizo!

Kukamilisha huu mzunguko utahitaji miaka mitatu!
 
Sio kwamba kila anayetoa hongo ili apate hati anakuwa hajafata utaratibu. Isipokuwa anatoa ili apate hati haraka.

Utaratibu wakupata hati ni huu
  • Kiwanja kiwe kwenye ramani ya mipango miji ( Town Planning Drawing)
  • Kiwanja kiwe kimepimwa (Survey Plan)
  • Uwe na mkataba wa mauziano
  • Kuna form namba 92 inabidi ijazwe pia na majirani wote unaopakana nao wasaini
  • Then mwanasheria atasaini baadhi docs.
  • Ukishakuwa na hizi document zote unazipeleka halmashauri kwa ajili ya mchakato wa kupata hati.
  • Kuna bills utapewa na halmashauri. Note: Hizi bills zinategemea na ukubwa wa kiwanja na pia matumizi ya kiwanja.
Good
 
Sio kwamba kila anayetoa hongo ili apate hati anakuwa hajafata utaratibu. Isipokuwa anatoa ili apate hati haraka.

Utaratibu wakupata hati ni huu
  • Kiwanja kiwe kwenye ramani ya mipango miji ( Town Planning Drawing)
  • Kiwanja kiwe kimepimwa (Survey Plan)
  • Uwe na mkataba wa mauziano
  • Kuna form namba 92 inabidi ijazwe pia na majirani wote unaopakana nao wasaini
  • Then mwanasheria atasaini baadhi docs.
  • Ukishakuwa na hizi document zote unazipeleka halmashauri kwa ajili ya mchakato wa kupata hati.
  • Kuna bills utapewa na halmashauri. Note: Hizi bills zinategemea na ukubwa wa kiwanja na pia matumizi ya kiwanja.
Huku Dodoma tumefanya vyote hivyo ila unaambiwa mpk mtu wa ardhi aje akague tena..sijui wanakagua nini..maana tumeshajenga na kukaa..mchakato wote hapo juu tulipitia.. mm nilikua najiandaa kupata hati nashangaa tena wanasema mpk mtu aje akague..sasa akague nini wkt surveyor alishakagua b4 bulding permit..
Msaada hapa Omukisa
 
Back
Top Bottom