monotheist
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 830
- 1,449
Lipia tangazo sasaBaada ya kuangaika kutafuta perfume bora ya kiume kwangu hii ndo bora kuliko mzigo unaitwa SAUVAGE ELIXIR tena upate original huu mzigo ni balaa achana na zile za kkoo huwa nikienda mishemishe nikikutana na watoto wa kishua hawaachi kuniuliza unyunyu unaitwaje
Juzi nimepanda zangu mwendokasi nilikaa na pisi kali full mikausho nashangaa pisi inataka namba yangu nikaikumbuka ile ngoma ya Josline (wanaizimika yangu perfume)
View attachment 3137303
Nalipiaje tangazo wakati nimeficha jina la duka na nimeonyesha bei ili maswali yasiwe mengi mimi ni mteja tuuLipia tangazo sasa
Wanaume wengi wanaotumia hii perfume ni waongo waongo๐Baada ya kuangaika kutafuta perfume bora ya kiume kwangu hii ndo bora kuliko mzigo unaitwa SAUVAGE ELIXIR tena upate original huu mzigo ni balaa achana na zile za kkoo huwa nikienda mishemishe nikikutana na watoto wa kishua hawaachi kuniuliza unyunyu unaitwaje
Juzi nimepanda zangu mwendokasi nilikaa na pisi kali full mikausho nashangaa pisi inataka namba yangu nikaikumbuka ile ngoma ya Josline (wanaizimika yangu perfume)
View attachment 3137303
Tuambizane na perfume nzuri za kike mi nshachoka kupaka miski๐
Na wala hata sio lazima wala sio muhimu mkuu wewe jiamini bila shaka kabisa. Wenzako hata hiyo ya 10k hatutumii.Mi natamba na Fog ya 10000 huo mtaji sio poa ๐๐
Achana nae huyo.. feki yake ipo Tsh 35,000 tu na huwezi jua tofauti ๐Perfume ya laki tatu!!! Aaaah jamani๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ
Tuambizane na perfume nzuri za kike mi nshachoka kupaka miski๐
Kwa uzoefu wako, au sioWanaume wengi wanaotumia hii perfume ni waongo waongo๐
Mimi ni msaka tonge bado najitafuta hiyo nimeletewa zawadi aliyeileta amepiga picha hadi priceLengo kuu ilikua ni kuujuza umma kwamba una kipato kizuri.