Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 16,464
- 35,629
Natumia Cobra perfume 🥺🥺🥺Wanaume wengi wanaotumia hii perfume ni waongo waongo😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Natumia Cobra perfume 🥺🥺🥺Wanaume wengi wanaotumia hii perfume ni waongo waongo😂
Mkuu hiyo sio de toilete aiseeHaijaandikwa de 'toilete!!?au hujui kifaransa!?
Haijaandikwa de 'toilete!!?au hujui kifaransa!?
Yaan perfume ninunue 345000! Mwanaume ninukie vizuri nmekua 🍒🚮Baada ya kuangaika kutafuta perfume bora ya kiume kwangu hii ndo bora kuliko mzigo unaitwa SAUVAGE ELIXIR tena upate original huu mzigo ni balaa achana na zile za kkoo huwa nikienda mishemishe nikikutana na watoto wa kishua hawaachi kuniuliza unyunyu unaitwaje
Juzi nimepanda zangu mwendokasi nilikaa na pisi kali full mikausho nashangaa pisi inataka namba yangu nikaikumbuka ile ngoma ya Josline (wanaizimika yangu perfume)
View attachment 3137303
Tuambizane na perfume nzuri za kike mi nshachoka kupaka miski😅
Hiyo shida sasa
Achana ns Hizo . Ingia mtaani na kikopo kwa wale jamaa wanso changanya perfume kisha weka aina 20 tofauti. Hiyo harufu utadhani peponi utawaletea wana JF ushuhudaBaada ya kuangaika kutafuta perfume bora ya kiume kwangu hii ndo bora kuliko mzigo unaitwa SAUVAGE ELIXIR tena upate original huu mzigo ni balaa achana na zile za kkoo huwa nikienda mishemishe nikikutana na watoto wa kishua hawaachi kuniuliza unyunyu unaitwaje
Juzi nimepanda zangu mwendokasi nilikaa na pisi kali full mikausho nashangaa pisi inataka namba yangu nikaikumbuka ile ngoma ya Josline (wanaizimika yangu perfume)
View attachment 3137303
Lile jiji jombaa acha kabisa, jua linakuchapa kama linakukomoa vileMi sio mdau wa pafyumu na vya kupaka paka, ila kuna miji flani unalazimika uwe na vya kupaka paka kama deodorant na pafyumu. Kama jiji hilo la matapeli. 😁
Ya 7000 yako too local na sisi wa zile za 700, buku na buku mbili tusemaje local pro max 😂Kunukia vzuri ni kitu kizuri kwa ke au Me.
Kwa wanaume, ukiona budget zinakataa perdume, tumia deodorant(5000) + Mafuta mazuri.
Ila ma spray ya 7000 sijui yako too local.
Lile jiji jombaa acha kabisa, jua linakuchapa kama linakukomoa vile
Acha kabisa ndo ile linakwambia "we mbwa usiponunua gari mwaka huu nakuua" 😂😂Ni kama jua limeshuka hivi mkuu! 😁
Hii angalau kidogo.Achana nae huyo.. feki yake ipo Tsh 35,000 tu na huwezi jua tofauti 😀
Huo ni mshahara wangu mie..!Baada ya kuangaika kutafuta perfume bora ya kiume kwangu hii ndo bora kuliko mzigo unaitwa SAUVAGE ELIXIR tena upate original huu mzigo ni balaa achana na zile za kkoo huwa nikienda mishemishe nikikutana na watoto wa kishua hawaachi kuniuliza unyunyu unaitwaje
Juzi nimepanda zangu mwendokasi nilikaa na pisi kali full mikausho nashangaa pisi inataka namba yangu nikaikumbuka ile ngoma ya Josline (wanaizimika yangu perfume)
View attachment 3137303