Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Hii ni alfu tano mia ngapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni alfu tano mia ngapi?
Vitu kama hivyoKwa uzoefu wako, au sio
Hiyo ipoje mkuu? Tuone picha😂Natumia Cobra perfume 🥺🥺🥺
Sahih....kuna mmoja hapa anatumia hyo perfume.... tokea nimemjua ni zaidi ya miaka 10 hajawahi kuwa mkweli.Wanaume wengi wanaotumia hii perfume ni waongo waongo😂
Hii ni alfu tano mia ngapi?
Umeamua uweke dola kupoza sio🤣🤣Haitishi kipenzi kama kadola 60 hivi sehemu nyingine hadi dola 37. Ila sasa ipi feki ipo OG ndio sijui maana mi nina rafiki ananileteaga.
Dada hata laki 2 haitoboi, Hii ERoni ananunua akiwa amelala kabisa 😊Umeamua uweke dola kupoza sio🤣🤣
Inauzwa 345,000!!!!!🙆♀️🌚Baada ya kuangaika kutafuta perfume bora ya kiume kwangu hii ndo bora kuliko mzigo unaitwa SAUVAGE ELIXIR tena upate original huu mzigo ni balaa achana na zile za kkoo huwa nikienda mishemishe nikikutana na watoto wa kishua hawaachi kuniuliza unyunyu unaitwaje
Juzi nimepanda zangu mwendokasi nilikaa na pisi kali full mikausho nashangaa pisi inataka namba yangu nikaikumbuka ile ngoma ya Josline (wanaizimika yangu perfume)
View attachment 3137303
Haujipendi ?Baada ya kuangaika kutafuta perfume bora ya kiume kwangu hii ndo bora kuliko mzigo unaitwa SAUVAGE ELIXIR tena upate original huu mzigo ni balaa achana na zile za kkoo huwa nikienda mishemishe nikikutana na watoto wa kishua hawaachi kuniuliza unyunyu unaitwaje
Juzi nimepanda zangu mwendokasi nilikaa na pisi kali full mikausho nashangaa pisi inataka namba yangu nikaikumbuka ile ngoma ya Josline (wanaizimika yangu perfume)
View attachment 3137303
Mkuu duka lipo wapi nimeitafuta sana?!Baada ya kuangaika kutafuta perfume bora ya kiume kwangu hii ndo bora kuliko mzigo unaitwa SAUVAGE ELIXIR tena upate original huu mzigo ni balaa achana na zile za kkoo huwa nikienda mishemishe nikikutana na watoto wa kishua hawaachi kuniuliza unyunyu unaitwaje
Juzi nimepanda zangu mwendokasi nilikaa na pisi kali full mikausho nashangaa pisi inataka namba yangu nikaikumbuka ile ngoma ya Josline (wanaizimika yangu perfume)
View attachment 3137303
Tofauti ipo kubwa sana ni kama baiskeli na Lamborghini ama FerrariAchana nae huyo.. feki yake ipo Tsh 35,000 tu na huwezi jua tofauti 😀
Kumbe hadi JF kuna wateja wetu! Hongera na Asante Binti kiziwi 🫶🏼