Hivi kuna perfume ya kiume yenye kunukia vizuri kuliko hii?

Hivi kuna perfume ya kiume yenye kunukia vizuri kuliko hii?

Hiyo ipoje mkuu? Tuone picha😂
images (37).jpeg

😔😔😔
Tatizo life Ms ledada
 
Baada ya kuangaika kutafuta perfume bora ya kiume kwangu hii ndo bora kuliko mzigo unaitwa SAUVAGE ELIXIR tena upate original huu mzigo ni balaa achana na zile za kkoo huwa nikienda mishemishe nikikutana na watoto wa kishua hawaachi kuniuliza unyunyu unaitwaje

Juzi nimepanda zangu mwendokasi nilikaa na pisi kali full mikausho nashangaa pisi inataka namba yangu nikaikumbuka ile ngoma ya Josline (wanaizimika yangu perfume)

View attachment 3137303
Inauzwa 345,000!!!!!🙆‍♀️🌚
 
Baada ya kuangaika kutafuta perfume bora ya kiume kwangu hii ndo bora kuliko mzigo unaitwa SAUVAGE ELIXIR tena upate original huu mzigo ni balaa achana na zile za kkoo huwa nikienda mishemishe nikikutana na watoto wa kishua hawaachi kuniuliza unyunyu unaitwaje

Juzi nimepanda zangu mwendokasi nilikaa na pisi kali full mikausho nashangaa pisi inataka namba yangu nikaikumbuka ile ngoma ya Josline (wanaizimika yangu perfume)

View attachment 3137303
Haujipendi ?

Kama unajipenda, kwanini unajipenda unatumia vitu cheap cheap visivyo na ubora na vilivyopigwa marufuku ?
 
Baada ya kuangaika kutafuta perfume bora ya kiume kwangu hii ndo bora kuliko mzigo unaitwa SAUVAGE ELIXIR tena upate original huu mzigo ni balaa achana na zile za kkoo huwa nikienda mishemishe nikikutana na watoto wa kishua hawaachi kuniuliza unyunyu unaitwaje

Juzi nimepanda zangu mwendokasi nilikaa na pisi kali full mikausho nashangaa pisi inataka namba yangu nikaikumbuka ile ngoma ya Josline (wanaizimika yangu perfume)

View attachment 3137303
Mkuu duka lipo wapi nimeitafuta sana?!
 
Back
Top Bottom