Hivi kuna uhusiano gani kati ya 'gari' na 'mtoto wa kike?'

Hivi kuna uhusiano gani kati ya 'gari' na 'mtoto wa kike?'

Amicus Curiae

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2012
Posts
5,351
Reaction score
7,639

Yani nashindwa kabisa kuelewa, ni kwanini watoto wengi wa kike wanashobokea sana magari? Yani hata ajue sio lako, ili mradi kakuona tu unaendesha basi ukimgusia tu anajaa!!! Wengine kwao yapo, tena mengi tu ya kifahari, lkn bado akimuona kidume "anatembelea ------" yaani anadrive lazima ashoboke! Duh...!

 
Ngozi ya Dudu ndo ilitumika kwenye Tambiko la kijapan wakati wa Uzinduz, so kushoboka is inevitable, vitoto vya shule ni chips kuku eti wanasema za kununuliwa na mshkaj tam kuliko za Home! Asilimia 95% ya mimba za Udogon chanzo ni Chips Mayai!
 
Ngozi ya Dudu ndo ilitumika kwenye Tambiko la kijapan wakati wa Uzinduz, so kushoboka is inevitable, vitoto vya shule ni chips kuku eti wanasema za kununuliwa na mshkaj tam kuliko za Home! Asilimia 95% ya mimba za Udogon chanzo ni Chips Mayai, sio birian wala Pilau!
 

Yani nashindwa kabisa kuelewa, ni kwanini watoto wengi wa kike wanashobokea sana magari? Yani hata ajue sio lako, ili mradi kakuona tu unaendesha basi ukimgusia tu anajaa!!! Wengine kwao yapo, tena mengi tu ya kifahari, lkn bado akimuona kidume "anatembelea ------" yaani anadrive lazima ashoboke! Duh...!


Gari la kwao litamsaidia nini? Kama anayeliendesha ni kaka yake wewe unafikiri atafanya nini? Anashobokea gari lako kwa kuwa hata akiwa na wewe atapata shida ya usafiri bali atakuwa na raha kama alivyo kwao
 
Ndoa yangu iliyumba sana jirani aliponunua gari na kuanza kutupa lift mm na wife kwenda kazini!

Kwa ufupi ukiwa na"motokali"kwenye nchi ya dunia ya tatu hawa jinsia tofauti utachagua mwenyewe ukale bata na nani leo Chamwino!

Niliponunua langu ndoa ikaimarika kweli kweli ahahahahah!
 
Actually men just don't understand IT AIN'T ABT THE CAR BUT THE GOOD TIMES THAT COME WITH THE CAR!

Mimi binafsi yangu a mans ride n the way he treats his ride tells me 1000 words than his sorry filthy mouth of a liar !!!!!!!!!
 
Ndoa yangu iliyumba sana jirani aliponunua gari na kuanza kutupa lift mm na wife kwenda kazini!

Kwa ufupi ukiwa na"motokali"kwenye nchi ya dunia ya tatu hawa jinsia tofauti utachagua mwenyewe ukale bata na nani leo Chamwino!

Niliponunua langu ndoa ikaimarika kweli kweli ahahahahah!

huo ndio uhalisia wa ndoa....ukifulia ndoa lazima eteteleke
 
Actually men just don't understand IT AIN'T ABT THE CAR BUT THE GOOD TIMES THAT COME WITH THE CAR!

Mimi binafsi yangu a mans ride n the way he treats his ride tells me 1000 words than his sorry filthy mouth of a liar !!!!!!!!!

umejibu vizuri sana...very saikolojical answer tic very very true though am a man but i have conceptulize your answer good
 
Back
Top Bottom