Hivi kuna uhusiano wa kwenda Ulaya na kufeli maisha?

Hivi kuna uhusiano wa kwenda Ulaya na kufeli maisha?

Ni wehu ni wachache sanaa wanakumbuka kujiwekeza wengi wao ni wehu blaza wangu wa pili anaishi UK mwaka wa 12 sasa hana nyumba wala mke wala mtoto japo yeye ni artist anijiweza kidogo huwa anakuja na kuondoka lakini abachofanya bongo hakuna hata kibanda
Yaani,hata siwaelewi Hawa watu!
 
Mkuu si umetoka kusema ulikuwa mitaa ya Tangi bovu mnakula maraha na mmarekani wako nyani ngabu???

Au mimi ndio nina mtindio wa ubongo??

😁😁😁😁😁
We naee hujui kutumia nyakati?"ulikuwa""Ina maanisha wakati gani?jiongeze.
 
Nina mchiz wangu anazaidi ya 10 yrs UK ye life lake anasemaga na single mothers wenye hela zao anaingia nao serious relationship wanamlea akija bongo. Sema anazali nao balaa sijui kachanjia. Saiz kashaoa mdada mmoja mme wake alifariki miaka ya nyuma na huyo dada yupo kitengo . Jamaa alizaaga na mzungu akiwaoneshaga madem mapicha wanapagawa. Saizi anakuja bongo mara mbili kwa mwaka na akija shughuli ni moja tu...lodge za sinza kazimaliza. Mchizi anakismart sana maana kabla ya hapo alikuaga na dem mwingine wa kitengo flani bank akala life balaa. Kiufupi ndo lifestyle yake na hawezi rudi bongo maana kukaa kule kunampa hiyo heshima. Angekuaga anaplan angekua level zingine maana kuna kipindi nilishikaga hela ndefu nikawa namsisitiza tufanye ishu ambayo tutakua tunaleta mzigo toka UK ila jamaa wala hajali,ye stori zake milupo tu na yupo above 40
Huyo nguvu za kiume zikiisha ndio atajua hajui.....atabaki kutupa story u know this,u know that
 
Kanishukia Kama mwewe🤣
Yeah, sometimes huwa hapendagi masihara, we kuna ubuyu eti nasikia huyo jamaa ni mzee wa Ikungulyabashashi mtu mzima Ngabu? Soma hapa chini...
Mkuu si umetoka kusema ulikuwa mitaa ya Tangi bovu mnakula maraha na mmarekani wako nyani ngabu???

Au mimi ndio nina mtindio wa ubongo??

😁😁😁😁😁
 
Mfano halisi mbona upo ambae ni lemutuz,mzee miaka 60 bado anakimbizana na vibinti huko mtaani
U know!niko na le mbebez,le mtindiz.....sijui wanavutishwaga nini ndugu zetu wakienda huko!
 
Yeah, sometimes huwa hapendagi masihara, we kuna ubuyu eti nasikia huyo jamaa ni mzee wa Ikungulyabashashi mtu mzima Ngabu? Soma hapa chini...
Huyo wa chini nilishamjibu,ajifunze kutumia tenses vizuri.....Mjuni!huo ubuyu sijauelewa hebu nieleweshe
 
Waliotoboa huwezi kusikia wanasemwa vibaya,maisha ni kupambana kuna watu wametoka vijijini kwao wakaenda mjini na wahajafanikiwa kwanini muwasakame walioenda nje kutafuta maisha
Hatujawasakama ndugu,tunaulizana tu kutokana na tambo na ,mbwembwe,manjonjo yao ilhali Hali yao kiuchumi Ni jojo.
 
Wewe ni global citizen...Hali yako kwa Sasa niaje lakini?
Sio mbaya na sio nzuri sana. Afrika tunateswa sana na EXTENDED FAMILY. Nimeoa huko wanakoua wazazi wao kila uchao, niseme ni changamoto, utahudumia, wakwe, wajomba, wazazi, ndugu, shangazi, watoto wa shangazi na ndugu chungu mzima. Hata kama unapata pesa around 2.6 M take home, per month still haitoshi, unajitutumua kuwalipia Bima za afya hasa watoto ili kupunguza ukali wa maisha lakn utaambiwa ada, madaftari mara nguo nk.
Nimependa maisha ya wenzetu hawana muda sana na hao ndugu na jamaa. Kama sio kuwa na familia ningeishi nje kibabe sana, i feel bad kukosa ile chance ya kuishi Brazil kisa nimemzalisha mtoto wa watu huku and she was like insane mpaka akataka kujiua.

Hahahah nimerudi huku nimejua mpaka KUBET [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hata ungekuwa wewe mkuu,Ufike lower Manhattan paaaa!,Afu kwenye story zako zote usipataje kweli....Wachana na USA bna
Halafu nikimaliza kuwasimulia ndio niwaulize una buku tano hapo!aaah we king tuheshimiane
 
Sio mbaya na sio nzuri sana. Afrika tunateswa sana na EXTENDED FAMILY. Nimeoa huko wanakoua wazazi wao kila uchao, niseme ni changamoto, utahudumia, wakwe, wajomba, wazazi, ndugu, shangazi, watoto wa shangazi na ndugu chungu mzima. Hata kama unapata pesa around 2.6 M take home, per month still haitoshi, unajitutumua kuwalipia Bima za afya hasa watoto ili kupunguza ukali wa maisha lakn utaambiwa ada, madaftari mara nguo nk.
Nimependa maisha ya wenzetu hawana muda sana na hao ndugu na jamaa. Kama sio kuwa na familia ningeishi nje kibabe sana, i feel bad kukosa ile chance ya kuishi Brazil kisa nimemzalisha mtoto wa watu huku and she was like insane mpaka akataka kujiua.

Hahahah nimerudi huku nimejua mpaka KUBET [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Dah Extended family Ni suala mtambuka....nimekulewa vizuri....hapo kwenye kubet hapo🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom