Hivi kuna uhusiano wa kwenda Ulaya na kufeli maisha?

Hivi kuna uhusiano wa kwenda Ulaya na kufeli maisha?

Hahaa ila Watz mnachekesha sana. Wengi wenu hamzifahamu vizuri nchi zilizoendelea.
Jamani huwezi kwenda kwenye hizo nchi ukatajirika tu kirahisi, lasivyo wananchi waliopo huko wasingekuwa wanalia kila kukicha inequality.
Maisha ya kule ni magumu mnoo, kila kitu kimeshajiset na matabaka yamekomaa. Sio rahisi uanzie from zero to hero. Ndio maana wengi wanaishia kwenye madawa wanakuwa disillusioned.
Mnashangaa mtu kakaa ulaya miaka kumi anarudi na begi mlitegemeaje labda? Atarudi akiwa na pesa kama Bill Gates? Ukitaka upate pesa haswa your best bet ni kujitahidi hapa hapa Tanzania. Huku bado mambo hayajiset na fursa nyingi hazijatendewa haki vizuri.
Waliokwenda hizo nchi wakafanikiwa ni wanafunzi walisoma kwa bidii na walijua watarudi kuendelea na maisha Tz; walioenda kule na very specific skill set wakaajiriwa kama vile wahadhiri wa vyuo (wanafundisha sana sana Kiswahili) au tech science etc au watu wenye idea au products zinazotafuta investors etc.
 
Mimi nashangaa kwa nini mnajua Diaspora maisha yetu magumu lakini mnatuonea wivu, yaani nimeona humu topics za watu kuomba uraia pacha unaona kabisa watu mna chuki na wanaoishi nje! Sasa how unakua na jealous na mtu ambae maisha yake tayari ni magumu? Lol
 
Hahaa ila Watz mnachekesha sana. Wengi wenu hamzifahamu vizuri nchi zilizoendelea.
Jamani huwezi kwenda kwenye hizo nchi ukatajirika tu kirahisi, lasivyo wananchi waliopo huko wasingekuwa wanalia kila kukicha inequality.
Maisha ya kule ni magumu mnoo, kila kitu kimeshajiset na matabaka yamekomaa. Sio rahisi uanzie from zero to hero. Ndio maana wengi wanaishia kwenye madawa wanakuwa disillusioned.
Yaani unazungumzia matabaka gani, sisi tunachoangalia kule kuna kazi nyingi na fursa nyingi, malipo ni makubwa si ndio? Kukomaa kwa matabaka kunatuhusu nini, mtu kapata kazi kiwandani anagonga mzigo!
 
Yaani unazungumzia matabaka gani, sisi tunachoangalia kule kuna kazi nyingi na fursa nyingi, malipo ni makubwa si ndio? Kukomaa kwa matabaka kunatuhusu nini, mtu kapata kazi kiwandani anagonga mzigo!
Hahahaaa nitajie hizo fursa nyingi hapa. Na kama huelewi dynamics za classism na kwanini nimetaja matabaka na nuances zake mpaka zinasababisha watu kishindwa ku excell in society siwezi kukusaidia kwa kweli. Unaweza ukaishia kujiuza.
 
Nimeshakutajia, viwandani.
Hahahaha eti viwandani. Hahahahaaa.
Unaujua ujira wa watu wanaofanya kazi viwandani relative to the living expenses za hizo nchi?
Unajua working conditions kwenye hivyo viwanda? Unajua hali ya migrant workers kwenye hivyo viwanda?
Nikajua utataja fursa ya maana eti viwandani. Hahahaaaa.
Nyie mnadanganya sana watu hapa Tz kwamba maisha ni bwerere kwenye nchi zilizoendelea, wanaishia kuwa frustrated na kuangukia kwenye uraibu.
 
Hahahaha eti viwandani. Hahahahaaa.
Unaujua ujira w watu wanaofanya kazi viwandani relative to the living expenses za hizo nchi?
Unajua working conditions kwenye hivyo viwanda? Unajua hali ya migrant workers kwenye hivyo viwanda?
Nikajua utataja fursa ya maana eti viwandani. Hahahaaaa.
Badala ya kuelezea unakalia kusema unajua unajua!, hizo working conditions zikoje na hiyo hali ya migrants ikoje?. Wewe unasema viwandani sio fursa ya maana, unajua mtu mwenye ujuzi analipwa sh ngapi kwa saa?

By the way umeshawahi kukaa nchi gani, au unasikia tu?
 
Badala ya kuelezea unakalia kusema unajua unajua!, hizo working conditions zikoje na hiyo hali ya migrants ikoje?. Wewe unasema viwandani sio fursa ya maana, unajua mtu mwenye ujuzi analipwa sh ngapi kwa saa?

By the way umeshawahi kukaa nchi gani, au unasikia tu?
Hahahahahaaaaaa. Hujui kitu ndio maana unaongea tu. Hujajibu swali langu hata moja kazi yako kudeflect. Eti viwanda. Unafikiri tupo kwenye 1960s?Utaenda kwenye hizo nchi upewe work permit ya kuwa kibarua kiwandani? Au ni ujuzi gani uliospesho sana ulionao wewe kwenye sekta ya viwanda ambayo hana mtu kwenye hio nchi au nchi za jirani?
Ndugu utaishia kujiuza.
 
Hahahahahaaaaaa. Hujui kitu ndio maana unaongea tu. Eti viwanda. Unafikiri tupo kwenye 1960s. Utaenda kwenye hizo nchi upewe work permit ya kuwa kibarua kiwandani?
Ndugu utaishia kujiuza.
Unajua maana ya kibarua? Kibarua ni mtu asiye na proffesion. Wewe unasikia, mimi nimeishi huko. Kaa na hizo habari zako za kusikia.
 
Ila ulaya wale wanaotoboa inakuwagaje?


Kwenye maisha yoyote, popote ogopa kitu Ulimbukeni.

Kujitia mtu wa mjini kumbe umetoka Makanya Kwa kina Taikon.

Kujifanya Mzungu wakati wewe ni Muafrika.

Kujifaraguza unapesa au umetoka familia bomba wakati wewe ni fukara.

Ulimbukeni wa kupapukia na kurukia vitu vipya, ogopa sana
 
Kwenye maisha yoyote, popote ogopa kitu Ulimbukeni.

Kujitia mtu wa mjini kumbe umetoka Makanya Kwa kina Taikon.

Kujifanya Mzungu wakati wewe ni Muafrika.

Kujifaraguza unapesa au umetoka familia bomba wakati wewe ni fukara.

Ulimbukeni wa kupapukia na kurukia vitu vipya, ogopa sana
Mimi nahisi hili ndio tatizo kubwa
 
Sio kweli Bana yaani ukae England alafu usifanikiwe labda uwe MTU wastarehe Ila kama unamalengo unatoboa Nina class mate nilimaliza nae Six Yuko poa tuu Baba Ake Alikuwa na uraia wa Huko akamchukua huyo binti akampambania akapata uraia akamsomesha unesi kila mwaka anarudi anabadisha gari km Hana akili amejenga na ana biashara zake hata 30 age hajafika.

Mwengine shemeji yangu yy England ni raia sasa toka afike Uingereza Anamiaka mitatu huyu yy watoto wake wanasoma shule nzuri wote km wanne hivi kila mwezi anatuma sichini ya m 1 Kwa ajili ya matumizi na anajenga some where sasa hivi na anaplan Kurudi August mwaka huu.

Yaani ukae Europe alafu uwe lofa ww sio mzima kinyume na hapo labda uwe MTU wa starehe na mvivu KAZI kibao za viwandani, kubeba boksi, km unaelimu kidogo ndo unatoboa japo kuna mtiririko wa Kodi lkn cha kuweka hukosi.
Kubeba box ndio kazi gani mkuu
 
[emoji1783][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28]macho yanacheka moyo unalia[emoji24][emoji30]
acha tu, kwakweli tukanza kupiga story za lile begi huwa tunacheka mno na sister, japo bro hajui kama tunachekaga.... halafu sio begi kwamba mtu kalitoa shop yani limechoka utadhani limeokotwa
 
Back
Top Bottom