Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,133
- 12,361
Nakupongeza kwa huu uzi, maana umemuibua mentor wangu Kiranga cha Ngeda Sakala Kandubwa!Mmeamka Sasa...
Yaani,hata siwaelewi Hawa watu!Ni wehu ni wachache sanaa wanakumbuka kujiwekeza wengi wao ni wehu blaza wangu wa pili anaishi UK mwaka wa 12 sasa hana nyumba wala mke wala mtoto japo yeye ni artist anijiweza kidogo huwa anakuja na kuondoka lakini abachofanya bongo hakuna hata kibanda
Huyo nguvu za kiume zikiisha ndio atajua hajui.....atabaki kutupa story u know this,u know thatNina mchiz wangu anazaidi ya 10 yrs UK ye life lake anasemaga na single mothers wenye hela zao anaingia nao serious relationship wanamlea akija bongo. Sema anazali nao balaa sijui kachanjia. Saiz kashaoa mdada mmoja mme wake alifariki miaka ya nyuma na huyo dada yupo kitengo . Jamaa alizaaga na mzungu akiwaoneshaga madem mapicha wanapagawa. Saizi anakuja bongo mara mbili kwa mwaka na akija shughuli ni moja tu...lodge za sinza kazimaliza. Mchizi anakismart sana maana kabla ya hapo alikuaga na dem mwingine wa kitengo flani bank akala life balaa. Kiufupi ndo lifestyle yake na hawezi rudi bongo maana kukaa kule kunampa hiyo heshima. Angekuaga anaplan angekua level zingine maana kuna kipindi nilishikaga hela ndefu nikawa namsisitiza tufanye ishu ambayo tutakua tunaleta mzigo toka UK ila jamaa wala hajali,ye stori zake milupo tu na yupo above 40
Yeah, sometimes huwa hapendagi masihara, we kuna ubuyu eti nasikia huyo jamaa ni mzee wa Ikungulyabashashi mtu mzima Ngabu? Soma hapa chini...Kanishukia Kama mwewe🤣
Mkuu si umetoka kusema ulikuwa mitaa ya Tangi bovu mnakula maraha na mmarekani wako nyani ngabu???
Au mimi ndio nina mtindio wa ubongo??
😁😁😁😁😁
Huyo wa chini nilishamjibu,ajifunze kutumia tenses vizuri.....Mjuni!huo ubuyu sijauelewa hebu nielewesheYeah, sometimes huwa hapendagi masihara, we kuna ubuyu eti nasikia huyo jamaa ni mzee wa Ikungulyabashashi mtu mzima Ngabu? Soma hapa chini...
Haya mamaa.We naee hujui kutumia nyakati?"ulikuwa""Ina maanisha wakati gani?jiongeze.
Waliotoboa huwezi kusikia wanasemwa vibaya,maisha ni kupambana kuna watu wametoka vijijini kwao wakaenda mjini na wahajafanikiwa kwanini muwasakame walioenda nje kutafuta maishaIla ulaya wale wanaotoboa inakuwagaje?
Hata ungekuwa wewe mkuu,Ufike lower Manhattan paaaa!,Afu kwenye story zako zote usipataje kweli....Wachana na USA bnaWana mbwembwe Sana kila saa utasikia nilivyokua Texas,Mara nilivyokua Ibiza Bora mradi watu wajue alishaenda huko khaaa!
Hatujawasakama ndugu,tunaulizana tu kutokana na tambo na ,mbwembwe,manjonjo yao ilhali Hali yao kiuchumi Ni jojo.Waliotoboa huwezi kusikia wanasemwa vibaya,maisha ni kupambana kuna watu wametoka vijijini kwao wakaenda mjini na wahajafanikiwa kwanini muwasakame walioenda nje kutafuta maisha
Sio mbaya na sio nzuri sana. Afrika tunateswa sana na EXTENDED FAMILY. Nimeoa huko wanakoua wazazi wao kila uchao, niseme ni changamoto, utahudumia, wakwe, wajomba, wazazi, ndugu, shangazi, watoto wa shangazi na ndugu chungu mzima. Hata kama unapata pesa around 2.6 M take home, per month still haitoshi, unajitutumua kuwalipia Bima za afya hasa watoto ili kupunguza ukali wa maisha lakn utaambiwa ada, madaftari mara nguo nk.Wewe ni global citizen...Hali yako kwa Sasa niaje lakini?
Si usome Joannah? Hiyo post niliyoinukuu inajieleza vizuri.Huyo wa chini nilishamjibu,ajifunze kutumia tenses vizuri.....Mjuni!huo ubuyu sijauelewa hebu nieleweshe
Dah Extended family Ni suala mtambuka....nimekulewa vizuri....hapo kwenye kubet hapo🤣🤣🤣Sio mbaya na sio nzuri sana. Afrika tunateswa sana na EXTENDED FAMILY. Nimeoa huko wanakoua wazazi wao kila uchao, niseme ni changamoto, utahudumia, wakwe, wajomba, wazazi, ndugu, shangazi, watoto wa shangazi na ndugu chungu mzima. Hata kama unapata pesa around 2.6 M take home, per month still haitoshi, unajitutumua kuwalipia Bima za afya hasa watoto ili kupunguza ukali wa maisha lakn utaambiwa ada, madaftari mara nguo nk.
Nimependa maisha ya wenzetu hawana muda sana na hao ndugu na jamaa. Kama sio kuwa na familia ningeishi nje kibabe sana, i feel bad kukosa ile chance ya kuishi Brazil kisa nimemzalisha mtoto wa watu huku and she was like insane mpaka akataka kujiua.
Hahahah nimerudi huku nimejua mpaka KUBET [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Yeah ulevi ule kama vilevi vingine. Yaan nikifanya matumizi basi kaelfu kangu natandika mkeka.Dah Extended family Ni suala mtambuka....nimekulewa vizuri....hapo kwenye kubet hapo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahahaaa, nadhani mdau anamchokoza Nyani Ngabu , atazingua mtu soon!Kwani huyo nyani anaishi Tangi bovu?🤣🤣🤣🤣acheni kuzua Mambo jamani