Hivi kuna uhusiano wa kwenda Ulaya na kufeli maisha?

Watu wanajisahulisha uhalisia wao Kaka.
 
Kumbe tatizo ni u much knows
 
ASANTE kwa mchango mzuri.
 
Wanaorudi hoi bin taaban
 
Miaka ya Sasa sio miaka ya 1900s ambapo mtu akienda nje anaonekana Kama kawin Sana maisha,miaka ya Sasa Mambo yamebadilika Sana Dada watu wanaona kawaida Sana mtu kwenda huko,hii ni kutokana na baadhi yenu mnaorudi mkiwa hoi bila chochote na uraibu juu,wakati uliowaacha unawakuta wamefika mbali.Kama wewe umefanikiwa mshukuru Mungu Ila wengi wao Hali sio shwari,tunawaona tunaishi nao....Hakuna mtu wa kukuonea wivu eti kisa Ni Diaspora hakuna
 

Umenena vyema

Kitu wengi hawatambui michongo ya ajira unapata kwa connection Za uliosoma nao/wanaokufahamu ukipata chuo

Nakumbuka nilibahatika ajira mara baada ya kuhitimu na alienipa huo mchongo alikuwa ni Lecturer/mhadhiri wangu wa chuo kwakuwa aliona namna ninavyojituma na discipline niliokuwa nayo.

Baada ya kulamba ajira nikaongeza elimu and the rest is now History

Life is 90% luck 10% struggle
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…