smarte_r
JF-Expert Member
- Nov 8, 2013
- 4,564
- 12,014
Kwani story za house party zinahusu kuku?.Achana na habari za watu, tupe story za house party!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani story za house party zinahusu kuku?.Achana na habari za watu, tupe story za house party!
I still love you turudiane basi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Dear X....fanya kazi acha kumbwela
Ata yesu anaishi kwa baba ake,Umemsahau le mutuz miaka 30 Ulaya na Marekani karudi anaishi kwa baba yake
Yaani!Kama Kuna umuhimu nijadili tu Sina namna😁Mtoa mada,
Kwenye namba 1.
maelezo yako mwenyewe yanatushawishi tukujadili wewe badala ya kuijadili mada husika
Sent using Jamii Forums mobile app
Itabaki story tu😅 mwacheni Le Mutuz aishi
Le Mutuz nashangaa hapewi shavu kwanini au baba yake hajakipigania chama?
Yaani Sielewi...sijui huwa wanalimbuka wakifika huko!kuna mmoja mtoto wa kishua kaka US miaka nane, karudi last year around november, kawa shoga. mbaya zaidi anatumia cocaine.
halafu kama kadata flani hivi. kichwani anasuka nywele na kutoboa masikio kama mtoto wa kike.
sijui huko ughaibuni wazungu wanafanya nini hawa vijana wanaotokea afrika.
Ila Ulaya wale wanaotoboa inakuwagaje?Wengi walioko nje ya nchi hawanaga mbele wala nyuma kijana wabongo anamzidi maendeleo Kuna mwingine namjua kakaa Uingereza more than 25 ila alirudi akiwa njaa Kali hana mbele wala nyuma, akarudi ndio kufungua duka la nguo tena akiishi kwa kutegemea Kodi ya nyumba iliyoachwa na wazazi wake, bahati nzuri akapata mwanamke ni Dr ndio kamuoa yeye yupo yupo tu, wengine nawafahamu wako Marekani na Wana maisha magumu mama Yao ni mstaafu ndio huwatumia hela za ku survive, in short wengi walipelekwaga nje na wazazi wasome ila Sasa ni mizigo wanategemea hao wazazi wao na wamepoteza focus za life
hahahahah wewe Extrovert ni mchokozi balaa!Le Mutuz nashangaa hapewi shavu kwanini au baba yake hajakipigania chama?
Wana mbwembwe Sana kila saa utasikia nilivyokua Texas,Mara nilivyokua Ibiza Bora mradi watu wajue alishaenda huko khaaa!Na wakienda nje wakirudi wanataka waonekane wamewahi kwenda nje,utadhani huko nje kuna maajabu yoyote[emoji23]ulimbukeni
Ni nadra sana kutoboa ukiwa huko, huku mwalimu wa shule ya msingi anamshinda aliyeko huko nje. Mie Kuna ninaowajua wako nje ila wazazi huku nyumbani wanawasaidia.Ila ulaya wale wanaotoboa inakuwagaje?