DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Sijajua kwanini,Le Mutuz nashangaa hapewi shavu kwanini au baba yake hajakipigania chama?
Ila jamaa kawa chawa Sana pale Lumumba MUDA mrefu mno.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijajua kwanini,Le Mutuz nashangaa hapewi shavu kwanini au baba yake hajakipigania chama?
Wampe hata Ubunge aokoe familiaSijajua kwann,
Ila jamaa kawa chawa Sana pale lumumba MDA mrefu mno.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani Hilo ni TATIZO kiukweli..Wanaondoka wakiwa na ndoto kubwa sana Ila wanaishia kupoteza hata uwezo mdogo waliokuwa nao...SADWengi walioko nje ya nchi hawanaga mbele wala nyuma kijana wabongo anamzidi maendeleo Kuna mwingine namjua kakaa Uingereza more than 25 ila alirudi akiwa njaa Kali hana mbele wala nyuma, akarudi ndio kufungua duka la nguo tena akiishi kwa kutegemea Kodi ya nyumba iliyoachwa na wazazi wake, bahati nzuri akapata mwanamke ni Dr ndio kamuoa yeye yupo yupo tu, wengine nawafahamu wako Marekani na Wana maisha magumu mama Yao ni mstaafu ndio huwatumia hela za ku survive, in short wengi walipelekwaga nje na wazazi wasome ila Sasa ni mizigo wanategemea hao wazazi wao na wamepoteza focus za life
Changamoto Ni kwamba wanataka waonekane special ikiwa mfukoni kumetoboka.Wana mbwembwe Sana kila saa utasikia nilivyokua Texas,Mara nilivyokua Ibiza Bora mradi watu wajue alishaenda huko khaaa!
Tatiz jamaa Ni mjivuni Sana[emoji4]Wampe hata Ubunge aokoe familia
Uchawa amuachie Nani?halafu Kama bendera kipindi Cha jiwe na yeye akawa anafanya uchawa wake wenzie kina nape wamehold tu msoga hao Sasa wanakula keki ya taifa.Le Mutuz nashangaa hapewi shavu kwanini au baba yake hajakipigania chama?
Kama alikuwa chawa wa Jiwe ameisha😅Uchawa amuachie Nani?halafu Kama bendera kipindi Cha jiwe na yeye akawa anafanya uchawa wake wenzie kina nape wamehold tu msoga hao Sasa wanakula keki ya taifa.
Hukustahili kutwambia ulimuacha kwasababu hakua Kama ulivomtarajia.Yaani!Kama Kuna umuhimu nijadili tu Sina namna[emoji16]
Of course nilikuwa na mahesabu...Hivi Kuna binaadamu anaingia tu kwenye mahusiano bila kufanya mahesabu?utakuwa mwehu......sijui labda nyie wanaumeHukustahili kutwambia ulimuacha kwasababu hakua Kama ulivomtarajia.
Unatupa picha kua uliingia kwenye mahusiano na ukiwa ushapiga na mahesabu yako tayar [emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Alkua chawa wa jiwe kupitia kina Jerry mulo na Sabaya.Kama alikuwa chawa wa Jiwe ameisha[emoji28]
Apo nakuelewa Sasa[emoji4]Of course nilikuwa na mahesabu...Hivi Kuna binaadamu anaingia tu kwenye mahusiano bila kufanya mahesabu?utakuwa mwehu......sijui labda nyie wanaume
Tatizo kakaa kifala fala Sana. Hadi wanaona aibu watamuweka wapi[emoji23]Le Mutuz nashangaa hapewi shavu kwanini au baba yake hajakipigania chama?
Anapotosha Vijana....Mbona Mheshimiwa Beatrice Kamugisha alituambia tutoke jmn
🤣🤣🤣🤣🤣Tuwatie Moyo kwa kuwa Tanzania Ni moja tupambane kwa pamojaNa wa mikoani wanaojivuna wakifika dsm kisha miaka kibao inapita hawana lolote wanzishiwe uzi wao, huwa wana tamba sana kama wana maisha vile... Baadae wanarudi bush wamechoka, kutoboa sio mchezo