Hivi kuna uhusiano wa kwenda Ulaya na kufeli maisha?

Hivi kuna uhusiano wa kwenda Ulaya na kufeli maisha?

Sio kweli Bana yaani ukae England alafu usifanikiwe labda uwe MTU wastarehe Ila kama unamalengo unatoboa Nina class mate nilimaliza nae Six Yuko poa tuu Baba Ake Alikuwa na uraia wa Huko akamchukua huyo binti akampambania akapata uraia akamsomesha unesi kila mwaka anarudi anabadisha gari km Hana akili amejenga na ana biashara zake hata 30 age hajafika.

Mwengine shemeji yangu yy England ni raia sasa toka afike Uingereza Anamiaka mitatu huyu yy watoto wake wanasoma shule nzuri wote km wanne hivi kila mwezi anatuma sichini ya m 1 Kwa ajili ya matumizi na anajenga some where sasa hivi na anaplan Kurudi August mwaka huu.

Yaani ukae Europe alafu uwe lofa ww sio mzima kinyume na hapo labda uwe MTU wa starehe na mvivu KAZI kibao za viwandani, kubeba boksi, km unaelimu kidogo ndo unatoboa japo kuna mtiririko wa Kodi lkn cha kuweka hukosi.
 
Sio kweli Bana yaani ukae England alafu usifanikiwe labda uwe MTU wastarehe Ila kama unamalengo unatoboa Nina class mate nilimaliza nae Six Yuko poa tuu Baba Ake Alikuwa na uraia wa Huko akamchukua huyo binti akampambania akapata uraia akamsomesha unesi kila mwaka anarudi anabadisha gari km Hana akili amejenga na ana biashara zake hata 30 age hajafika.

Mwengine shemeji yangu yy England ni raia sasa toka afike Uingereza Anamiaka mitatu huyu yy watoto wake wanasoma shule nzuri wote km wanne hivi kila mwezi anatuma sichini ya m 1 Kwa ajili ya matumizi na anajenga some where sasa hivi na anaplan Kurudi August mwaka huu.

Yaani ukae Europe alafu uwe lofa ww sio mzima kinyume na hapo labda uwe MTU wa starehe na mvivu KAZI kibao za viwandani, kubeba boksi, km unaelimu kidogo ndo unatoboa japo kuna mtiririko wa Kodi lkn cha kuweka hukosi.
Naunga mkono hoja! Ukiwa na profession ulaya rahisi kutoboa sana hasa hizo za afya malipo mazuri! Unaingiza hela nyingi kwa muda mfupi halafu hata uki convert kibongo ukiwa na. Pound 5000 tu ni hela ndefu huku na wala kwao kuipata sio kazi kama unajishughulisha!
 
My take---hili lina ukweli kwa kiasi fulani kwa upande ya wanaoenda kusoma nje ya nchi.
1.Kuna wanaoenda kusoma---wanajisahau hali ya maisha walioacha huku nyumbani--wao ni bata tu.Marafiki wanaokutana nao huko na ni kutoka hali na kipato tofauti---ULIMBUKENI unawapoteza--wanaacha walichokifuata.
2.Connections wanazozipata huko chuoni huwa zinapotea baada ya kuhitimu tu---na kila mtu anatawanyika kwenda kwao---ukirudi bongo huna hata mtu mmoja wa kukuonyesha mchongo au kukushika mkono kwenye soko la ajira---pia elimu ya nje haifanyi kazi kibongo bongo---very few waliosoma nje undergraduate wanaweza pambana na mishe za kibongobongo---I repeat---very few---Wachache sana!
3.Utamaduni wetu sio wa huko--vise versa is also true----kwenda nje ukasomea degree ya mambo ya fashion sijui interior design sijui upholstery---ulaya ni kazi zenye hela---unaenda UK kusomea kushona masofa---kazi ambayo bongo haihitaji degree---ni nyundo yako na kigodoro baas....wanaoendaga kufanya hizo courses tayari wana connections(either wanamiliki viwanda au wana uwezo wa kuendeleza kipaji.
 
Wasalaam wanajamvi.

Jamani Kuna jambo linanifikirisha kwa muda sasa, hivi kuna uhusiano wowote kwa vijana wa makamo wanaorudi toka ughaibuni na kufeli maisha?nimekutana na case Kama tatu hivi ambazo zimenivuruga kichwa.nitazielezea kufupi

1. Katika hekaheka za humu duniani nilikaribishwa kwenye house party moja maeneo ya Salasala,ilisheheni mbwembwe za kila aina, nilikuwa na wadada warembo na wakaka wamotoo, kila mtu alijifanyia ni mmarekani, Siku hiyo nilijiona nimeokota dodo chini ya mchongoma kwani Kuna jamaa very presentable aliyetambulishwa Kama ndio fresh karudi zake kutoka ughaibuni alitokea kunitunuku.hapo ndio ulikuwa mwanzo wa penzi tamu nikiwa na matarajio kibao.

Picha linaanzia huyu Bwana hana hata nyumba, kapewa nyumba na wazazi wake maeneo ya Tangi bovu ndio anaishi hapo,Huyu Bwana sifa ya umalaya hakubarikiwa, yeye ni mlevi hujapata ona,akiamka asubuhi anaoga,anawasha zake muziki anaanza kunywa whiskey jamani Ni asubuhi ya saa tatu, hiyo Ni mpera mpera mpaka atavyolala Sasa sita, Alikuwa anapenda kupika mwenyewe anapika anakula kidogooo vyote najilia mie yeye anatwanga mipombe yake..baada ya miezi kadhaa nikaanza muuliza ana mpango gani wa maisha?kazi au biashara hana jibu sahihi..Nina search zoom namuonyesha nafasi za kazi jibu lake sawa nita apply, miezi inayoyoma yule bwana hastuki wala nini.Imagine mtu ana 41 anapewa pocket money na mama..

Nikaanza lalamika kwa ndugu zake wa karibu ,mtoto wa baba yake mdogo akaniita faragha"Kama kweli una ndoto na maisha yako hapo unapoteza muda wako buree huyo hajarudi na kitu chochote zaidi ya begi lake na picha za kwenye barafu,,,huko Germany hajasoma chochote na wala huku nyumbani hajainvest kitu chochote kufupi Ni kwamba"Kaenda KUZURURA miaka Saba halafu karudi hoi..nikachoka na penzi likafa..Ila penzi lake lilikuwa tamu sana hana kero,muelewa, romantic kwa kweli abarikiwe Sana na atolewe tozo kwenye kila muamala ataofanya.

2. Huyu ni kaka wa best friend wangu, siku anaondoka hadi airport tumemsindikiza akielekea UK akiahidi ahadi kedekede lazima apambane atoke kimaisha kwamba nafasi aliyoipata hawezi chezea.....Jamani Kaenda huko miaka sita baadae hata nauli ya kurudi ilibidi atumiwe, karudi hana hata mia yupo tu amekuwa mwamba wa kupiga virungu.

3. Huyu wa tatu nahisi ndio kamaliza Ulaya yoteee kikubwa anachomiliki Ni saa aina Seiko anadai Ni original alinunua Milan,simu yake ya smartphone ,kiingereza kilichonyooka na album yake ya Google photos ukiwa imesheheni picha pambe kabisa zenye madhali ya kuvutia sana.Nae kwa virungu na uchawa hajambo.

Sasa Hawa Ni mfano tu wa wengi wanaokwenda huko ughaibuni na kurudi tee. hebu tuwaulize nyie mnaojiita Diaspora huko huwa mnafanya nini?wenzenu huku nyumbani Mambo yetu Ni bambam tumeoana,tuna watoto,tunaishi vizuri.Sasa huko jamani mbona Kama mnapoteza muda Ila mkitupia picha mnatuvimbia kwelikweli ilihali si uhalisia. My Take Kama huko Mambo meusi rudini nyumbani tujenge nchi..Nyie vijana wenye ndoto za kwenda kusaka tonge huko ughaibuni nawashauri mpambane tu hapa nyumbani mtatoboa unless mkachukue elimu mrudii.
Kwahiyo ulimpa tunda kimasihara kisa Ulaya
 
Ulaya ni kupiteza muda tu! Hakuna kitu. Bora hata sauzi. ....tunawaona vijana wa sauzi. Wanarudi na maendeleo
Mm nakataa. Japo hata hapa bongo mnaweza ajoriwa kazi wote siku moja mwenzio akasonga wewe ukaishia simu nzuri, club's na madem plus mvinyo. Kitu chochote ni targets. Ulaya kuna fursa za ajira bado lakini kwa wapambanaji. Ila ukifika kule ukiishi kama raiya wa kule nimekula kwako.
Kama bongo mtu anatoka kwa mshahara wa ml 2 kila kitu humohumo inashindikana vipi ulaya???
 
Alkua chawa wa jiwe kupitia kina Jerry mulo na Sabaya.

Root za dar-moshi-arusha zilikua nyingi Sana enzi za mwendazake.

Hata genge la mtungo wa NANDY CHUGA nae katajwa sana kuhusika japokua hakupiga ila alikuepo na alikausha mdada wa watu akipelekewa Moto next door [emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu fikiria mzee wa miaka 50 na zaidi yupo kwenye magenge ya kufanyia mitungo wajukuu zake...Halafu kwani binti alimlia Nani pesa mpaka asulubiwe kiasi hicho?
 
Mm nakataa. Japo hata hapa bongo mnaweza ajoriwa kazi wote siku moja mwenzio akasonga wewe ukaishia simu nzuri, club's na madem plus mvinyo. Kitu chochote ni targets. Ulaya kuna fursa za ajira bado lakini kwa wapambanaji. Ila ukifika kule ukiishi kama raiya wa kule nimekula kwako.
Kama bongo mtu anatoka kwa mshahara wa ml 2 kila kitu humohumo inashindikana vipi ulaya???
Kwa hiyo hapa tunajifunza wakifika huko wanajifanya na wao Ni wazawa huko na kusahau Kama wao Ni wakwenda tu...so wangetulia wangetoka tu
 
Alkua chawa wa jiwe kupitia kina Jerry mulo na Sabaya.

Root za dar-moshi-arusha zilikua nyingi Sana enzi za mwendazake.

Hata genge la mtungo wa NANDY CHUGA nae katajwa sana kuhusika japokua hakupiga ila alikuepo na alikausha mdada wa watu akipelekewa Moto next door [emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hv nandy kumbe alipigwa mtungo kikweli kweli..nilijua alihepa[emoji2960][emoji2960]
 
---very few waliosoma nje undergraduate wanaweza pambana na mishe za kibongobongo---I repeat---very few---Wachache sana!
QUOTE] kwa wanaosoma post graduate vipi?, education system yao ya post graduate ina work huku kwetu?
 
Back
Top Bottom