Hivi kuna uhusiano wa kwenda Ulaya na kufeli maisha?

Hivi kuna uhusiano wa kwenda Ulaya na kufeli maisha?

Msitunange banaa, mbona wengine sie tumekaa miaka kibao huku ughaibuni tuna familia na mijengo tumenunua huku tunajilipia mortgage tu.Halafu bongo pia tuna mijengo tukifika hatuendi hotel au kwa hizo apartments!! tunafikia kwenye mijengo yetu. Ughaibuni inategemea na malengo yako kama ulienda ili baadae urudi bongo umetoboa, basi inatakiwa uwe na discipline ya maisha maana maisha ya ulaya yana utaratibu wake. Sie wengine tulikwenda kuishi!! bongo tunakuja vacation mara 1 kwa miaka miwili, maana bongo yenyewe inaboa mvua ikinyesha maji yanavyojaa kwa barabara utasema unaishi bwawani, mbu, nzi kibao na umeme na maji vya mgao noumer sana wallah.
 
Na wa mikoani wanaojivuna wakifika dsm kisha miaka kibao inapita hawana lolote wanzishiwe uzi wao, huwa wana tamba sana kama wana maisha vile... Baadae wanarudi bush wamechoka, kutoboa sio mchezo
Anzisha mkuu maana wamewajengea watu dar kila mtu na picha yake [emoji23][emoji23][emoji23][emoji848]
 
Msitunange banaa, mbona wengine sie tumekaa miaka kibao huku ughaibuni tuna familia na mijengo tumenunua huku tunajilipia mortgage tu.Halafu bongo pia tuna mijengo tukifika hatuendi hotel au kwa hizo apartments!! tunafikia kwenye mijengo yetu. Ughaibuni inategemea na malengo yako kama ulienda ili baadae urudi bongo umetoboa, basi inatakiwa uwe na discipline ya maisha maana maisha ya ulaya yana utaratibu wake. Sie wengine tulikwenda kuishi!! bongo tunakuja vacation mara 1 kwa miaka miwili, maana bongo yenyewe inaboa mvua ikinyesha maji yanavyojaa kwa barabara utasema unaishi bwawani, mbu, nzi kibao na umeme na maji vya mgao noumer sana wallah.
Wewe ni Kati ya wawili katika 10...Big up mkuu...bwawani ukiwa na mpunga Kama mbele tu vijana wa hapa bwawani Ni wapambanaji account zao sio poa
 
Kila mtu ana namna yake ya kufurahia maisha. Ndivyo walivyolelewa na hao wengi wao wazazi wao wanakua vizuri kiuchumi ko hulelewa na wazazi.

Kama wanakula bata kama huyo jamaa ako wa 1 si mbaya. Acha atumie pesa za mama.
Kwa kweli wale ndio Mama's boy Hadi wanazeeka
 
Mamtoni ni kwa kwenda kula bata tu ila struggling ni hapa hapa africa

Africa still virgin ,full of unexploited resources and opportunities.

Ukienda mtoni deal na entertainment au biashara

Ila ukisubiria white colar na blue colar jobs utasanda mzee
 
Ni nadra sana kutoboa ukiwa huko,huku mwalimu wa shule ya msingi anamshinda aliyeko huko nje. Mie Kuna ninao wajua wako nje ila wazazi huku nyumbani wanawasaidia
Uko sahihi...Kuna mpuuzi hapa amekaa South Africa miaka nane. Alichorudi nacho ni cheni ya Silver na simu na sasa anataka nimkopeshe nauli eti akifika Dizonga' atanitumia double ya kiasi nitakachompa.
 
Changamoto Ni kwamba wanataka waonekane special ikiwa mfukoni kumetoboka.

Wanapoteza nguvu kubwa sana kutafuta umaarufu na kumantain ile status ya kuish USA kwa gharama kubwa Sana.

Mwisho wa SIKU hate kile kidogo walichorud nacho kinapotea kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanahitaji elimu ya kujitambua..wanadiss bongo ni Kama bwawani,Kuna nzi na mbu kibao wanasahau hiyo ndio root yao, unaodhani watu Kama Hawa wanafanikiwaje?wanavioneo fahari visivyo vyao na kuvipondea vya kwao...
 
Uko sahihi...Kuna mpuuzi hapa amekaa South Africa miaka nane. Alichorudi nacho ni cheni ya Silver na simu na sasa anataka nimkopeshe nauli eti akifika Dizonga' atanitumia double ya kiasi nitakachompa.
Kuna jamaa hapa nae hivyo hivyo utasikia mazeee mpumalanga kuna mashori lkn mfukoni hana kitu mizinga kwenda mbele
 
Alkua chawa wa jiwe kupitia kina Jerry mulo na Sabaya.

Root za dar-moshi-arusha zilikua nyingi Sana enzi za mwendazake.

Hata genge la mtungo wa NANDY CHUGA nae katajwa sana kuhusika japokua hakupiga ila alikuepo na alikausha mdada wa watu akipelekewa Moto next door [emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
Duuuuh hivi issue kumbe ilikua kweli?! Bongo nyoso
 
Uko sahihi...Kuna mpuuzi hapa amekaa South Africa miaka nane. Alichorudi nacho ni cheni ya Silver na simu na sasa anataka nimkopeshe nauli eti akifika Dizonga' atanitumia double ya kiasi nitakachompa.
🤣🤣🤣🤣Wana uraibu na hiyo Dzonga usiombe ukutane nao
 
Back
Top Bottom