Hivi kuna uhusiano wa kwenda Ulaya na kufeli maisha?

Hivi kuna uhusiano wa kwenda Ulaya na kufeli maisha?

Sio wote wengine ndugu zetu waliokimbilia huko ndio wanatuokoa.
Bongo hii maisha ya kifala sana tena ukute unadegree ya sociology kama yangu bora ukimbilie tu huko ikabebe box
Hao ndugu zenu wanawakomboa sijakataa,wanawatumia Dollars sawa,hao Ni wachache katika kundi la wengi waliolowea huko...Huyo nduguyo ana mradi wowote hapa nyumbani?amejenga?ukute siku ya kurudi huku Ni mwendo wa kufikia apartment za jangwani sea breeze baada ya miezi sita kwa mama magomeni
 
Hao ndugu zenu wanawakomboa sijakataa,wanawatumia Dollars sawa,hao Ni wachache katika kundi la wengi waliolowea huko...Huyo nduguyo ana mradi wowote hapa nyumbani?amejenga?ukute siku ya kurudi huku Ni mwendo wa kufikia apartment za jangwani sea breeze baada ya miezi sita kwa mama magomeni
Acha kujidanganya kundi kubwa la waliokimbilia ulaya wanaunafuu wa maisha kuliko wanaosota hapa bongo.

Hao wanaorudi na laptop pamoja na smartphone ni kundi la wachache ambao hawajielewi
 
Alkua chawa wa jiwe kupitia kina Jerry mulo na Sabaya.

Root za dar-moshi-arusha zilikua nyingi Sana enzi za mwendazake.

Hata genge la mtungo wa NANDY CHUGA nae katajwa sana kuhusika japokua hakupiga ila alikuepo na alikausha mdada wa watu akipelekewa Moto next door [emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee hv kweli yule dada sabaya alikung'uta?
 
Acha kujidanganya kundi kubwa la waliokimbilia ulaya wanaunafuu wa maisha kuliko wanaosota hapa bongo.

Hao wanaorudi na laptop pamoja na smartphone ni kundi la wachache ambao hawajielewi
Sio kweli....Sio kweli kabisa wanafanikiwa Ni wachache
 
Bora hao wanarudi hata na saa south Africa wanarudi na cheni shingoni meno ya dhahabu na tattoo hapo subiria story tu hakuna chochote cha maana wanachorudi nacho.
Yaani hao wa South ndio huruma.
 
Sio kweli Bana yaani ukae England alafu usifanikiwe labda uwe MTU wastarehe Ila kama unamalengo unatoboa Nina class mate nilimaliza nae Six Yuko poa tuu Baba Ake Alikuwa na uraia wa Huko akamchukua huyo binti akampambania akapata uraia akamsomesha unesi kila mwaka anarudi anabadisha gari km Hana akili amejenga na ana biashara zake hata 30 age hajafika.

Mwengine shemeji yangu yy England ni raia sasa toka afike Uingereza Anamiaka mitatu huyu yy watoto wake wanasoma shule nzuri wote km wanne hivi kila mwezi anatuma sichini ya m 1 Kwa ajili ya matumizi na anajenga some where sasa hivi na anaplan Kurudi August mwaka huu.

Yaani ukae Europe alafu uwe lofa ww sio mzima kinyume na hapo labda uwe MTU wa starehe na mvivu KAZI kibao za viwandani, kubeba boksi, km unaelimu kidogo ndo unatoboa japo kuna mtiririko wa Kodi lkn cha kuweka hukosi.
Angalau hao wanatia Moyo,Sasa Hawa wanaorudi mpaka watumiwe nauli huwa wanakwama wapi?
 
My take---hili lina ukweli kwa kiasi fulani kwa upande ya wanaoenda kusoma nje ya nchi.
1.Kuna wanaoenda kusoma---wanajisahau hali ya maisha walioacha huku nyumbani--wao ni bata tu.Marafiki wanaokutana nao huko na ni kutoka hali na kipato tofauti---ULIMBUKENI unawapoteza--wanaacha walichokifuata.
2.Connections wanazozipata huko chuoni huwa zinapotea baada ya kuhitimu tu---na kila mtu anatawanyika kwenda kwao---ukirudi bongo huna hata mtu mmoja wa kukuonyesha mchongo au kukushika mkono kwenye soko la ajira---pia elimu ya nje haifanyi kazi kibongo bongo---very few waliosoma nje undergraduate wanaweza pambana na mishe za kibongobongo---I repeat---very few---Wachache sana!
3.Utamaduni wetu sio wa huko--vise versa is also true----kwenda nje ukasomea degree ya mambo ya fashion sijui interior design sijui upholstery---ulaya ni kazi zenye hela---unaenda UK kusomea kushona masofa---kazi ambayo bongo haihitaji degree---ni nyundo yako na kigodoro baas....wanaoendaga kufanya hizo courses tayari wana connections(either wanamiliki viwanda au wana uwezo wa kuendeleza kipaji.
Asante,umeeleza kitaalamu kabisa.
 
Sio kweli Bana yaani ukae England alafu usifanikiwe labda uwe MTU wastarehe Ila kama unamalengo unatoboa Nina class mate nilimaliza nae Six Yuko poa tuu Baba Ake Alikuwa na uraia wa Huko akamchukua huyo binti akampambania akapata uraia akamsomesha unesi kila mwaka anarudi anabadisha gari km Hana akili amejenga na ana biashara zake hata 30 age hajafika.

Mwengine shemeji yangu yy England ni raia sasa toka afike Uingereza Anamiaka mitatu huyu yy watoto wake wanasoma shule nzuri wote km wanne hivi kila mwezi anatuma sichini ya m 1 Kwa ajili ya matumizi na anajenga some where sasa hivi na anaplan Kurudi August mwaka huu.

Yaani ukae Europe alafu uwe lofa ww sio mzima kinyume na hapo labda uwe MTU wa starehe na mvivu KAZI kibao za viwandani, kubeba boksi, km unaelimu kidogo ndo unatoboa japo kuna mtiririko wa Kodi lkn cha kuweka hukosi.
KABISA KABISA WENYE MALENGO NA NIDHAMU WANA TUSUA SEMA KWA JASHO SANA SANA SIYO LELEMA , UJANJA , WIZI NA RUSHWA KAMA BONGO,
ILA KATIKA KUMI NI WAWILI TU!!!!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom