Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
- Thread starter
- #81
Yule mzee Ni mwehu yuleUkiangalia anavoshindana na vijana uko mitandani hafanani kabisa na miaka 50 alokua nayo[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule mzee Ni mwehu yuleUkiangalia anavoshindana na vijana uko mitandani hafanani kabisa na miaka 50 alokua nayo[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao ndugu zenu wanawakomboa sijakataa,wanawatumia Dollars sawa,hao Ni wachache katika kundi la wengi waliolowea huko...Huyo nduguyo ana mradi wowote hapa nyumbani?amejenga?ukute siku ya kurudi huku Ni mwendo wa kufikia apartment za jangwani sea breeze baada ya miezi sita kwa mama magomeniSio wote wengine ndugu zetu waliokimbilia huko ndio wanatuokoa.
Bongo hii maisha ya kifala sana tena ukute unadegree ya sociology kama yangu bora ukimbilie tu huko ikabebe box
[emoji2][emoji2]Nampa big5 huyo mwamba wa kwanza maana alikuvua pichu
🤣🤣🤣Haki nimecheka Kama mazuri vile....Ulaya kwa kweli hapanaa twende tu na kurudiNa sisi tuna brother wetu amekaa nje miaka 4, yeye alirudi na begi la nguo tu baada ya kutumiwa nauli.
Saivi yupo yupo tu hana mbele wala nyuma!
Sijui huko ulaya kuna nini yaani?
Nadhani ni akili ya mtu tu, kwa walio jaaliwa mbona wanamatokeo tofauti.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Haki nimecheka Kama mazuri vile....Ulaya kwa kweli hapanaa twende tu na kurudi
Acha kujidanganya kundi kubwa la waliokimbilia ulaya wanaunafuu wa maisha kuliko wanaosota hapa bongo.Hao ndugu zenu wanawakomboa sijakataa,wanawatumia Dollars sawa,hao Ni wachache katika kundi la wengi waliolowea huko...Huyo nduguyo ana mradi wowote hapa nyumbani?amejenga?ukute siku ya kurudi huku Ni mwendo wa kufikia apartment za jangwani sea breeze baada ya miezi sita kwa mama magomeni
Ni ndefu nitakuandalia Uzi Kama movie vile.
Mzee hv kweli yule dada sabaya alikung'uta?Alkua chawa wa jiwe kupitia kina Jerry mulo na Sabaya.
Root za dar-moshi-arusha zilikua nyingi Sana enzi za mwendazake.
Hata genge la mtungo wa NANDY CHUGA nae katajwa sana kuhusika japokua hakupiga ila alikuepo na alikausha mdada wa watu akipelekewa Moto next door [emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli....Sio kweli kabisa wanafanikiwa Ni wachacheAcha kujidanganya kundi kubwa la waliokimbilia ulaya wanaunafuu wa maisha kuliko wanaosota hapa bongo.
Hao wanaorudi na laptop pamoja na smartphone ni kundi la wachache ambao hawajielewi
Angalau hao wanatia Moyo,Sasa Hawa wanaorudi mpaka watumiwe nauli huwa wanakwama wapi?Sio kweli Bana yaani ukae England alafu usifanikiwe labda uwe MTU wastarehe Ila kama unamalengo unatoboa Nina class mate nilimaliza nae Six Yuko poa tuu Baba Ake Alikuwa na uraia wa Huko akamchukua huyo binti akampambania akapata uraia akamsomesha unesi kila mwaka anarudi anabadisha gari km Hana akili amejenga na ana biashara zake hata 30 age hajafika.
Mwengine shemeji yangu yy England ni raia sasa toka afike Uingereza Anamiaka mitatu huyu yy watoto wake wanasoma shule nzuri wote km wanne hivi kila mwezi anatuma sichini ya m 1 Kwa ajili ya matumizi na anajenga some where sasa hivi na anaplan Kurudi August mwaka huu.
Yaani ukae Europe alafu uwe lofa ww sio mzima kinyume na hapo labda uwe MTU wa starehe na mvivu KAZI kibao za viwandani, kubeba boksi, km unaelimu kidogo ndo unatoboa japo kuna mtiririko wa Kodi lkn cha kuweka hukosi.
Asante,umeeleza kitaalamu kabisa.My take---hili lina ukweli kwa kiasi fulani kwa upande ya wanaoenda kusoma nje ya nchi.
1.Kuna wanaoenda kusoma---wanajisahau hali ya maisha walioacha huku nyumbani--wao ni bata tu.Marafiki wanaokutana nao huko na ni kutoka hali na kipato tofauti---ULIMBUKENI unawapoteza--wanaacha walichokifuata.
2.Connections wanazozipata huko chuoni huwa zinapotea baada ya kuhitimu tu---na kila mtu anatawanyika kwenda kwao---ukirudi bongo huna hata mtu mmoja wa kukuonyesha mchongo au kukushika mkono kwenye soko la ajira---pia elimu ya nje haifanyi kazi kibongo bongo---very few waliosoma nje undergraduate wanaweza pambana na mishe za kibongobongo---I repeat---very few---Wachache sana!
3.Utamaduni wetu sio wa huko--vise versa is also true----kwenda nje ukasomea degree ya mambo ya fashion sijui interior design sijui upholstery---ulaya ni kazi zenye hela---unaenda UK kusomea kushona masofa---kazi ambayo bongo haihitaji degree---ni nyundo yako na kigodoro baas....wanaoendaga kufanya hizo courses tayari wana connections(either wanamiliki viwanda au wana uwezo wa kuendeleza kipaji.
[emoji23][emoji23]Wana mbwembwe Sana kila saa utasikia nilivyokua Texas,Mara nilivyokua Ibiza Bora mradi watu wajue alishaenda huko khaaa!
KABISA KABISA WENYE MALENGO NA NIDHAMU WANA TUSUA SEMA KWA JASHO SANA SANA SIYO LELEMA , UJANJA , WIZI NA RUSHWA KAMA BONGO,Sio kweli Bana yaani ukae England alafu usifanikiwe labda uwe MTU wastarehe Ila kama unamalengo unatoboa Nina class mate nilimaliza nae Six Yuko poa tuu Baba Ake Alikuwa na uraia wa Huko akamchukua huyo binti akampambania akapata uraia akamsomesha unesi kila mwaka anarudi anabadisha gari km Hana akili amejenga na ana biashara zake hata 30 age hajafika.
Mwengine shemeji yangu yy England ni raia sasa toka afike Uingereza Anamiaka mitatu huyu yy watoto wake wanasoma shule nzuri wote km wanne hivi kila mwezi anatuma sichini ya m 1 Kwa ajili ya matumizi na anajenga some where sasa hivi na anaplan Kurudi August mwaka huu.
Yaani ukae Europe alafu uwe lofa ww sio mzima kinyume na hapo labda uwe MTU wa starehe na mvivu KAZI kibao za viwandani, kubeba boksi, km unaelimu kidogo ndo unatoboa japo kuna mtiririko wa Kodi lkn cha kuweka hukosi.