Hivi kuna uhusiano wa kwenda Ulaya na kufeli maisha?

Yaani Hilo ni TATIZO kiukweli..Wanaondoka wakiwa na ndoto kubwa sana Ila wanaishia kupoteza hata uwezo mdogo waliokuwa nao...SAD
Ishu ni kwamba maisha kule yapo juu sana na ujira ni wa kawaida..ni mkubwa ila sio kivile..na kaz nying ni vibarua(kwa hiz ngoz nyeus)...weng ni kubangaiza tu...ulaya ndo kabisaa..bora america wanahis wew ni afro american..ila ulaya plus ubaguz..halaf barid kal inakua ngum kupambana..halaf kule hamna vitu visivyo rasm..kama huku unaweza fungua genge tu maisha yakaenda....kule ni ishu..ukizingatia weng makaratas hawana.so wanabak kubangaiza na kupiga picha kwenye snow.....nna mwenzangu mmoja alibak ...sasa hiv anavuta mabangi na heroin huko..kinachomsaidia nikwamba jmaaa ni genius...so wazungu wanamkubal saana ila sasa ni kama kawehuka...macho mekundu muda wote yuko tipsy...
 
Na sisi tuna brother wetu amekaa nje miaka 4, yeye alirudi na begi la nguo tu baada ya kutumiwa nauli.
Saivi yupo yupo tu hana mbele wala nyuma!
Sijui huko ulaya kuna nini yaani?
mmmh same same here, ndugu yangu 7 years huko alirudi na begi pia lina track suit moja na viatu vitatu kila kimoja hakina mwenzie πŸ€”
 
Of course nilikuwa na mahesabu...Hivi Kuna binaadamu anaingia tu kwenye mahusiano bila kufanya mahesabu?utakuwa mwehu......sijui labda nyie wanaume

Apo nakuelewa Sasa[emoji4]

Sema jamaa nae mjanja Sana, alitumia mbinu Safi Sana kukunasa mwana mahesabu na ukajaa ukaliwa kimasihara

Otherwise Kama yeye alikupenda sana, alkua na long plans na wewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii komenti ya DeepPond kama vile mashairi.. nimevua kofia.
 
Nina mchiz wangu anazaidi ya 10 yrs UK ye life lake anasemaga na single mothers wenye hela zao anaingia nao serious relationship wanamlea akija bongo. Sema anazali nao balaa sijui kachanjia. Saiz kashaoa mdada mmoja mme wake alifariki miaka ya nyuma na huyo dada yupo kitengo . Jamaa alizaaga na mzungu akiwaoneshaga madem mapicha wanapagawa. Saizi anakuja bongo mara mbili kwa mwaka na akija shughuli ni moja tu...lodge za sinza kazimaliza. Mchizi anakismart sana maana kabla ya hapo alikuaga na dem mwingine wa kitengo flani bank akala life balaa. Kiufupi ndo lifestyle yake na hawezi rudi bongo maana kukaa kule kunampa hiyo heshima. Angekuaga anaplan angekua level zingine maana kuna kipindi nilishikaga hela ndefu nikawa namsisitiza tufanye ishu ambayo tutakua tunaleta mzigo toka UK ila jamaa wala hajali,ye stori zake milupo tu na yupo above 40
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…