atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
Ina maana ile siku huyo Sabaya ameenda kwenye ile hotel na kuhitaji aitiwe msanii alielala pale walikuja kufanikiwa kumla?[emoji848]Alkua chawa wa jiwe kupitia kina Jerry mulo na Sabaya.
Root za dar-moshi-arusha zilikua nyingi Sana enzi za mwendazake.
Hata genge la mtungo wa NANDY CHUGA nae katajwa sana kuhusika japokua hakupiga ila alikuepo na alikausha mdada wa watu akipelekewa Moto next door [emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ewaaa umenena vyema mkuu kila pahala wapo waloshindwa hvyo kwa hao wachache hatuwezi sema wengi wameshindwa hapana aiseeee!!Kila siku mnakandia wabeba box afu mnakuja inbox kuuliza jinsi ya kuja kiwanja [emoji3]
Hao wachache maisha yamewachapa mbona huongelei waliotoboa huko ughaibuni. Kila sehemu wapo wanaofanikiwa na wanaofeli.
Unataka kusema wote waliobaki bongo wametoboa? Mbona kila siku mnalia njaa. Tukidondoka wanyamwezi toka kiwanja ni kupigwa mizinga tu.
Wapo kibao waliotoboa nje sema wewe inaonekana circle yako ni ya waliosanda so unakutana na waliofulia tu, wengine tunadondoka bongo kila siku spending like there's no tomorrow na kurudi kiwanja. Tupo in the corporate world now tushapita kubeba box. Tunawekeza pia for our families ikibidi hata kuiba rasilimali maana bongo watu bado wamelala usingizi wa pono wanasubiri serikali iwafanyie kila kitu.
Nimerudi kiwanja last week toka kula vumbi bongo. Kama unataka kuja kiwanja usisite kuuliza [emoji12]
Cc Nyani Ngabu
Nahisi life style ya sehemu inachangia,sehemu kama Us ukiendekeza life style yao unafeli chapBora hata wanao tokaga mashariki ya mbali ndio naonaga wanatoboa....Kuna wale wanaoenda Japan na Korea huko Wana afadhali
[emoji1783][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28]macho yanacheka moyo unalia[emoji24][emoji30]mmmh same same here, ndugu yangu 7 years huko alirudi na begi pia lina track suit moja na viatu vitatu kila kimoja hakina mwenzie [emoji848]
Joannah , Joline Kato , cariha na wengineo, si kweli kwamba ukipita katika mkoa wa Tabora ukiwa kwenye garimoshi na ukachungulia dirishani ukamuona ng'ombe mweusi, basi ng'ombe wote katika mkoa wa Tabora ni weusi!!I swear, wala sio chai.....yani nimeona hiyo comment ya begi nikaanza tu kucheka mwenyewe
Legend! Wamekuibua mzee Baba.The diaspora is not monolithic.
If you associate with people who failed economically, that is a reflection of your network and its poor reach.
We are out here making big moves.
Na siku hizi hata likizo tunaishia Turks and Caicos, au tukijq Bongo ni kifqmilia zaidi, kwa sababu ya umbeya wa wabongo.
Kama kuna lawama, laumu watu wako specifically, usipakazie diaspora.
We si kuna comment yako humu umewatetea hao wa south A ukasema bora hata hao kidogo wana nafuu[emoji848][emoji848]Yaani hao wa South ndio huruma.
HahahaahahahahahahUko sahihi...Kuna mpuuzi hapa amekaa South Africa miaka nane. Alichorudi nacho ni cheni ya Silver na simu na sasa anataka nimkopeshe nauli eti akifika Dizonga' atanitumia double ya kiasi nitakachompa.
Yule mchizi alikuwa msela wa kitaaHahahahahahah Miraj hana akili au
Ina maana yule binti aliliwa mtungo!!? ..acha utaniHebu fikiria mzee wa miaka 50 na zaidi yupo kwenye magenge ya kufanyia mitungo wajukuu zake...Halafu kwani binti alimlia Nani pesa mpaka asulubiwe kiasi hicho?
Ana miaka 60 yule nyie ni age mate wa akina mbowe yuleUkiangalia anavoshindana na vijana uko mitandani hafanani kabisa na miaka 50 alokua nayo[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ungekuwa wewe wa Simiyu hata kama uko TRA angekusumbua jinga sana wadadaKwahiyo ulimpa tunda kimasihara kisa Ulaya
Nina washkaji zangu kama 11 hivi, Mmoja yuko JAPAN, Kyoto, Mmoja yuko UK, Brmingham, Mmoja yuko CANADA, Toronto, Mmoja yuko Denmark, Oslo, m1 yuko Namibia, Windhoek, Wa3 wako USA, Texas, California na Las Vegas Nevada, mwingine yuko zake South Africa, Cape town na mwingine anaishi TURKEY, Instanbul na wa Mwisho yuko Sehemu matata sana ARGENTINA, Iruya (Andes). Wote wana maisha mazuri tena sana wanasaidia sana ndugu zao. Ikumbukwe hawa wametokea maisha magumu tu, walikwenda huko kimasomo lkn wakabahatika kupata kazi.Bora hata wanao tokaga mashariki ya mbali ndio naonaga wanatoboa....Kuna wale wanaoenda Japan na Korea huko Wana afadhali
Polee Inaonekana ww una deal na wanadiaspora zaid [emoji38][emoji38] ila ss wa kwa mtogole hatuna nafasi kwakoKwa kweli napokea pole yako kwa Moyo mkunjufu,kuishi Ni kujifunza.Tangu nipate hicho kisanga Cha kwanza nikidhani nimepata bingo kumbe bungo basi nimekuwa mdadis Sana kwa Hawa wanaojiita global citizen...na wengi hamna kitu...Vijana mliopo Bongo mna heshima zangu nyingi Sana pamoja na changamoto za tozo Ila mnapambanaaa
Mtu yoyote ambae amekwenda Marekani, UK au kwingine madhali ni ughaibuni na akasoma uzuri na kupata kazi za maana hukuhuko, hawezi kuwa na maisha ambayo umeyaeleza ya hao jamaa watatu.Wasalaam wanajamvi.
Jamani Kuna jambo linanifikirisha kwa muda sasa, hivi kuna uhusiano wowote kwa vijana wa makamo wanaorudi toka ughaibuni na kufeli maisha?nimekutana na case Kama tatu hivi ambazo zimenivuruga kichwa.nitazielezea kufupi
1. Katika hekaheka za humu duniani nilikaribishwa kwenye house party moja maeneo ya Salasala,ilisheheni mbwembwe za kila aina, nilikuwa na wadada warembo na wakaka wamotoo, kila mtu alijifanyia ni mmarekani, Siku hiyo nilijiona nimeokota dodo chini ya mchongoma kwani Kuna jamaa very presentable aliyetambulishwa Kama ndio fresh karudi zake kutoka ughaibuni alitokea kunitunuku.hapo ndio ulikuwa mwanzo wa penzi tamu nikiwa na matarajio kibao.
Picha linaanzia huyu Bwana hana hata nyumba, kapewa nyumba na wazazi wake maeneo ya Tangi bovu ndio anaishi hapo,Huyu Bwana sifa ya umalaya hakubarikiwa, yeye ni mlevi hujapata ona,akiamka asubuhi anaoga,anawasha zake muziki anaanza kunywa whiskey jamani Ni asubuhi ya saa tatu, hiyo Ni mpera mpera mpaka atavyolala Sasa sita, Alikuwa anapenda kupika mwenyewe anapika anakula kidogooo vyote najilia mie yeye anatwanga mipombe yake..baada ya miezi kadhaa nikaanza muuliza ana mpango gani wa maisha?kazi au biashara hana jibu sahihi..Nina search zoom namuonyesha nafasi za kazi jibu lake sawa nita apply, miezi inayoyoma yule bwana hastuki wala nini.Imagine mtu ana 41 anapewa pocket money na mama..
Nikaanza lalamika kwa ndugu zake wa karibu ,mtoto wa baba yake mdogo akaniita faragha"Kama kweli una ndoto na maisha yako hapo unapoteza muda wako buree huyo hajarudi na kitu chochote zaidi ya begi lake na picha za kwenye barafu,,,huko Germany hajasoma chochote na wala huku nyumbani hajainvest kitu chochote kufupi Ni kwamba"Kaenda KUZURURA miaka Saba halafu karudi hoi..nikachoka na penzi likafa..Ila penzi lake lilikuwa tamu sana hana kero,muelewa, romantic kwa kweli abarikiwe Sana na atolewe tozo kwenye kila muamala ataofanya.
2. Huyu ni kaka wa best friend wangu, siku anaondoka hadi airport tumemsindikiza akielekea UK akiahidi ahadi kedekede lazima apambane atoke kimaisha kwamba nafasi aliyoipata hawezi chezea.....Jamani Kaenda huko miaka sita baadae hata nauli ya kurudi ilibidi atumiwe, karudi hana hata mia yupo tu amekuwa mwamba wa kupiga virungu.
3. Huyu wa tatu nahisi ndio kamaliza Ulaya yoteee kikubwa anachomiliki Ni saa aina Seiko anadai Ni original alinunua Milan,simu yake ya smartphone ,kiingereza kilichonyooka na album yake ya Google photos ukiwa imesheheni picha pambe kabisa zenye madhali ya kuvutia sana.Nae kwa virungu na uchawa hajambo.
Sasa Hawa Ni mfano tu wa wengi wanaokwenda huko ughaibuni na kurudi tee. hebu tuwaulize nyie mnaojiita Diaspora huko huwa mnafanya nini?wenzenu huku nyumbani Mambo yetu Ni bambam tumeoana,tuna watoto,tunaishi vizuri.Sasa huko jamani mbona Kama mnapoteza muda Ila mkitupia picha mnatuvimbia kwelikweli ilihali si uhalisia. My Take Kama huko Mambo meusi rudini nyumbani tujenge nchi..Nyie vijana wenye ndoto za kwenda kusaka tonge huko ughaibuni nawashauri mpambane tu hapa nyumbani mtatoboa unless mkachukue elimu mrudii.
Maminyororo[emoji2][emoji2][emoji1787]Juzi nimemuona samakisamak masaki na mshati mkuubwa wa kaki kaachia kifua macheni ya silver njenje