Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Nimeona niulize hili swali kwa sababu muda huu naangalia mubashara mechi ya mtoano kati ya Tabora United vs JKT.
Kilicho nihuzunisha ni maamuzi ya kibabaishaji ya hawa waamuzi wote watatu wa kike wanaochezesha huu mchezo. Imagine JkT inaongoza kwa ushindi wa magoli mawili ugenini; na yote ni ya kuotea!
Mchezaji wa Tabora United anavutwa karibu ya eneo la 18 mpaka anaanguka! Mwamuzi Tatu Malogo akapeta!! Mchezaji wa Tabora United anaambiwa ameotea, huku mbele yake kukiwa na mchezaji wa JKT!!
Nikijumlisha na ile mechi ya Tabora United vs Azam, na ambayo wachezaji wao wengi walizuiliwa kucheza ili wafungwe magoli mengi; kiukweli napata mashaka makubwa.
Hivi kuna uwezekano hii timu inahujumiwa eti ndiyo maana wameamua kuwapangia hawa incompetent referees!!!
Halafu kama kuna uhaba wa waamuzi wa kike, TFF iseme! Maana kwa upande wangu sioni sababu kwa hawa waamuzi wa kike kuchezesha mechi za wanaume, na wakati na wenyewe wana Ligi yao ya akina mama.
Na kama wanataka usawa, basi na waamuzi wa kiume nao waruhusiwe basi kuchezesha kwenye Ligi yao.
Kilicho nihuzunisha ni maamuzi ya kibabaishaji ya hawa waamuzi wote watatu wa kike wanaochezesha huu mchezo. Imagine JkT inaongoza kwa ushindi wa magoli mawili ugenini; na yote ni ya kuotea!
Mchezaji wa Tabora United anavutwa karibu ya eneo la 18 mpaka anaanguka! Mwamuzi Tatu Malogo akapeta!! Mchezaji wa Tabora United anaambiwa ameotea, huku mbele yake kukiwa na mchezaji wa JKT!!
Nikijumlisha na ile mechi ya Tabora United vs Azam, na ambayo wachezaji wao wengi walizuiliwa kucheza ili wafungwe magoli mengi; kiukweli napata mashaka makubwa.
Hivi kuna uwezekano hii timu inahujumiwa eti ndiyo maana wameamua kuwapangia hawa incompetent referees!!!
Halafu kama kuna uhaba wa waamuzi wa kike, TFF iseme! Maana kwa upande wangu sioni sababu kwa hawa waamuzi wa kike kuchezesha mechi za wanaume, na wakati na wenyewe wana Ligi yao ya akina mama.
Na kama wanataka usawa, basi na waamuzi wa kiume nao waruhusiwe basi kuchezesha kwenye Ligi yao.