Bei Mbaya
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 2,262
- 847
jamani hebu tulitazame hili kwa kina maana binadamu tumetofautiana kwa mambo mengi.
wengi wanaotaka kuoa/kuolewa wanasema sababu ni aidha umri kusogea sana ama kupiga hatua kiuchumi(kumiliki mali)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jamani hebu tulitazame hili kwa kina maana binadamu tumetofautiana kwa mambo mengi.
Kama huko single afu unatembelea MMU sishangai unajiuliza kama ni lazima kuoa/kuolewa. Nadhani ma thread yanawatisha vijana. I thank God sikuwahi tembelea MMU kabla sijaolewa maana labda na mimi ningekuwa kati ya wale wanaoogopa ndoa.
Siyo lazima kama mtu anaweza kushinda vishawishi na kuepuka zinaa kwa mujibu wa Biblia. Mtume Paulo alisema ni vizuri kama watu wangeishi kama yeye maana alikuwa hajaoa lakini ili kuepuka zinaa ni heri kila mtu awe na mke wake mwenyewe.
kuoa ni lazima.kuolewa si lazima.
si lazima kuoa au kuolewa ni kautamaduni ambako kamezoeleka.ktk jamii zetu.ambako kanaweka kipaumbele sana kuhusu kuolewa au kuoa na kama kijana aliyefikia umri wa kufanya hayo hajafanya anashushwa hadhi kwa kiasi fulani
Men vs Boysreal men wanaoa bana.....
Men vs Boys
ni aheri ukae km ulivyo lkn km huwezi kujizuia na uoe.jamani hebu tulitazame hili kwa kina maana binadamu tumetofautiana kwa mambo mengi.
jamani hebu tulitazame hili kwa kina maana binadamu tumetofautiana kwa mambo mengi.