Hivi kuna wanachama wa JF wanaoishi vijijini?

Tupo mzee baba
 
jf raha sana ......leo wote mnaishi vijijini

kesho wote mtasema mnsishi mjini hasa dar

keshokutwa wote mtasema mpo nje ya nchi.....

Na humu wote tupo fresh kimaisha hamna njaa kali .

Jf isife ....iendelee kudumu maana raha za humu hazipo mahali popote
 
Unakusikia Umalila huku mwakalali? Basi ndiko niliko ukilikosa gar saa6 mchana pale 8/8 Mbeya mjini usubir mpaka kesho tena. Ni bush hatar saa6 unaondoka mjini SAA 1 jion unafika kwetu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umalila mwakaleli[emoji124] [emoji124]
 
Mimi nilipo ukifika mwanza unapanda magari ya kwenda sengerema ukifika unabadilisha unapanda magari ya kwenda nyehunge ukifika nyehunge chukua boda kwenda kayenze ukifa kayenze chukua daladala ya baiskel mpk lumeya badae tembea kidogo utanipa kijiji cha misiri[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…