Hivi kuna wanachama wa JF wanaoishi vijijini?

Hivi kuna wanachama wa JF wanaoishi vijijini?

[emoji23] [emoji23] [emoji23] hujamwambia umepata new babe
Sijamwambia mm katukututa wenyewe tunabebishana anamwambia kudo eti si unaona ana babe mpya

Nikamwambia naona unataka sasa kunivurugia ila babe wangu huyu ukinivurugia hasikii chochote ndio anazidi kunipenda
 
Kuna watu wengine hawapendi matani kabisa ujue
Hahaha aisee basi afe na roho yake mkuu .. Daah mi kila nafanya kwa masihara kuanzia nikiamka nikishika mswaki nikiweka dawa ... Nkienda baed ... Yaan ni masihara tuu hata kulala ... Kimasihara hata dear nlmpata kimasihara ... Yaan mm ni masihara ... Nahis ntakufa kimasi hara masihara mara paaap nipo mbingun .... Hata hapa naongea kimasihara ...sijawah kuwa serious ... Kuna paper enzi nasoma nlpata 101 .. Nkamchorea katun teacher nyuma ya karatas akachukua 101 akatoa 100 nkapata 1 kimasihara ... Siajawah kuwa serious ...
 
Hahaha aisee basi afe na roho yake mkuu .. Daah mi kila nafanya kwa masihara kuanzia nikiamka nikishika mswaki nikiweka dawa ... Nkienda baed ... Yaan ni masihara tuu hata kulala ... Kimasihara hata dear nlmpata kimasihara ... Yaan mm ni masihara ... Nahis ntakufa kimasi hara masihara mara paaap nipo mbingun .... Hata hapa naongea kimasihara ...sijawah kuwa serious ... Kuna paper enzi nasoma nlpata 101 .. Nkamchorea katun teacher nyuma ya karatas akachukua 101 akatoa 100 nkapata 1 kimasihara ... Siajawah kuwa serious ...
Tuko pamoja
 
Nipo nairobi na Mike Sonko, skani kwake tunakula mvinyo, sijui kama hapa ni kijijini au mjini
 
Wengi tu tuko bush

Mi niko murongo/kikagati

Sometimes nakuwaga Rubambangwe
Upo Murongo? Wasalimie sana huko, ile milima ina vitu vya maana sana. Nitakuja Kyerwa niwasalimie watu wa BK, sema tu waambie waache kaubaguzi kwa sisi tusio na lafudhi yao bwana
 
Upo Murongo? Wasalimie sana huko, ile milima ina vitu vya maana sana. Nitakuja Kyerwa niwasalimie watu wa BK, sema tu waambie waache kaubaguzi kwa sisi tusio na lafudhi yao bwana
Karibu sana

Hapa nipo chini ya mlima flani hivi unaitwa rwabununka

Tutaacha ubaguzi mkuu usiogope
 
Nipo hapa,naandika comment hii nikiwa kijiji cha kinyeto mkoa wa Singida!!
 
Back
Top Bottom