Hivi kuna wanachama wa JF wanaoishi vijijini?

Hivi kuna wanachama wa JF wanaoishi vijijini?

Mm mbona wa kitapilimwa ndani kabisa iringa karibu na mishamo mpanda
 
Unakusikia Umalila huku mwakalali? Basi ndiko niliko ukilikosa gar saa6 mchana pale 8/8 Mbeya mjini usubir mpaka kesho tena. Ni bush hatar saa6 unaondoka mjini SAA 1 jion unafika kwetu
Vipi barabara zinapitika nataka nilete gari langu
 
me nko kijijini msondambeke, hata JF haijatufikia.
 
Tanganyika Masagati mwisho wa nchi na dunia huku....zaidi ya machakani
 
Back
Top Bottom