Hivi kuna wanachama wa JF wanaoishi vijijini?

Hivi kuna wanachama wa JF wanaoishi vijijini?

mie nipo uswekeni kabisa.nikija mjin nashangaa tu
 
Nipo Liparamba karibu na Mitomoni mpakni mwa Tz na Msumbiji
 
Mimi nipo kijijini ila panaitwa ulaya ni kilosa mkoani morogoro. Mimi ndo mjanja wao huku. Nikienda dar nafikiaga kwa shemeji yangu nalala sebuleni kwenye makochi,naangalia TV usiku kucha.
Nipo Zombo mkuu
 
Back
Top Bottom