Hivi kuna wanachama wa JF wanaoishi vijijini?

Hivi kuna wanachama wa JF wanaoishi vijijini?

Nimekuwa najiuliza hili swali.maana me naamini sisi sote tunaishi mijini hasa majiji dar na labda katika miji mikuu ya mikoa.kwa kuangalia threads za wengi naona wengi wajanja wote Wana misemo ya kimjini mjini.sifikirii Kama Kuna yoyote ambaye yupo ndani ndani bush kabisa.
Wakati naijua jf nilikuwa moshi vijijini, lakini kwa vijiji unavyomaanisha watakuwepo ila wameijulia mjini au vyuoni na kuna vijiji wanashindwa kutumia sababu ya network low
 
Walio wengi wapo mijini, lakini wapo pia ambao baada ya kukaa mjini wamerudi vijijini. Wa vijijini kabisa bila kuishi japo kidogo mjini sidhani kama wapo na kama wapo basi inategemea tunaposema kijiji tuna maana kijiji cha namna gani!
 
Msata kilingeni
Mshana, achana na Msata kilingeni cha Pwani, vijiji viko bara. Kuna vijiji unaenda kwanza kwa gari mpaka linapoishia, unapanda bodaboda mpaka inapoishia halafu unakwenda kwa mguu!
 
Mi nipo chaka moja hvi tunduru kunaitwa wenje,,msumbiji ndio majirani zetu
 
Me mbona niko chimbo huku, ila nahisi kijiji chote pekee ndo naijua na kutumia JF
 
Back
Top Bottom