Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii picha ya kichocheziHivi katika ndoa kuna mwandoa ambaye hachepuki kabisa yani unakuta mume na mke wote wametulia tuli!View attachment 2241958
Kwan umetokea wapi tena jamani!Dawa ya kuondokana na utumwa wa dhambi, ni kumpa Bwana Yesu maisha yako kwa maana ya kupokea wokovu. Tunapompa Yesu maisha yetu kwa maana ya kuzaliwa mara ya pili tunapokea nguvu ya ki-Ungu yenye uwezo wa kuutiisha mwili. Yaani tunakuwa hatuongozwi na mwili bali na roho/Roho. Usisahau kuwa kamwe hatuotoweza kuzitimiza tamaa za mwili, ndio maana unaweza kuta mtu anazini na watu hata wanne kwa siku na bado tamaa iko pale pale.
Kwa Yesu kuna raha sana. Mimi ni shuhuda.
JESUS IS SAVIOR
Walokole mnaongoza kwa uzinzi mnajidai mnapendana sana suala la kupeana uroda nnaona kawaida wakati wengine wapo kwenye ndoa.Dawa ya kuondokana na utumwa wa dhambi, ni kumpa Bwana Yesu maisha yako kwa maana ya kupokea wokovu. Tunapompa Yesu maisha yetu kwa maana ya kuzaliwa mara ya pili tunapokea nguvu ya ki-Ungu yenye uwezo wa kuutiisha mwili. Yaani tunakuwa hatuongozwi na mwili bali na roho/Roho. Usisahau kuwa kamwe hatuotoweza kuzitimiza tamaa za mwili, ndio maana unaweza kuta mtu anazini na watu hata wanne kwa siku na bado tamaa iko pale pale.
Kwa Yesu kuna raha sana. Mimi ni shuhuda.
JESUS IS SAVIOR