Hivi kuna wanaofanyabiashara ya Umachinga wenye Degree pale Mbezi Mwisho?

Hivi kuna wanaofanyabiashara ya Umachinga wenye Degree pale Mbezi Mwisho?

Pana tajiri mkubwa Nigeria akiwa na masters yake Toka UK baada ya kukosa kazi na kodi alijihifadhi kibanda Cha msukuma mkokoteni akisaidiwa chakula na makazi urafiki wao walikutana pombeni baada ya jamaa kupigwa maisha.
Hakuna jinsi jamaa wa masters ikabidi ajichanganye akasukume mkokoteni Hana jinsi ashatembeza sana bashasha Lagos lakini hola.
Akawa anasukuma mkokoteni akajifunza saving kula robo kutunza robo tatu akiweka kwenye kibuku baada ya miaka 2 akavunja akutegemea pesa alivyokuwa ni nyingi Akafungua biashara ya duka kwa sababu ya uzoefu wa kubeba mizigo ya madukani.
Mtaji ukakua kwa sababu aliwahi ishi UK akatafuta connection akaanza kuexport UK na kumport Nigeria Akafungua biashara UK na Nigeria akafanikiwa sana pia ni motivation speaker na mwandishi wa vitabu vya mafanikio pia.
So endelea kuogopa watu utanunua sabuni kwa cheti.
 
Pana tajiri mkubwa Nigeria akiwa na masters yake Toka UK baada ya kukosa kazi na kodi alijihifadhi kibanda Cha msukuma mkokoteni akisaidiwa chakula na makazi urafiki wao walikutana pombeni baada ya jamaa kupigwa maisha.
Hakuna jinsi jamaa wa masters ikabidi ajichanganye akasukume mkokoteni Hana jinsi ashatembeza sana bashasha Lagos lakini hola.
Akawa anasukuma mkokoteni akajifunza saving kula robo kutunza robo tatu akiweka kwenye kibuku baada ya miaka 2 akavunja akutegemea pesa alivyokuwa ni nyingi Akafungua biashara ya duka kwa sababu ya uzoefu wa kubeba mizigo ya madukani.
Mtaji ukakua kwa sababu aliwahi ishi UK akatafuta connection akaanza kuexport UK na kumport Nigeria Akafungua biashara UK na Nigeria akafanikiwa sana pia ni motivation speaker na mwandishi wa vitabu vya mafanikio pia.
So endelea kuogopa watu utanunua sabuni kwa cheti.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Hapo mwisho sasaa...!
 
Kwenye kutafuta pesa usijali wengine wanakuchukuliaje wewe focus kwenye kile unachokitaka achana na walimwengu.
Mimi nilishawahi kutembeza door to door dagaa wa kukaanga tena makusudi naanzia kwenye mitaa ninayoishi wala sikujali nani ataongea nini wala kunionaje
 
Usiogope kufanya kile unachotaka kufanya kwa sababu watu watakuonaje. Kikubwa fanya kazi kwa malengo kuwa baada ya miaka kadhaaa nahitaji kuwa nimepiga hatua fulani. Imani yenye nguvu ni ile inayotoka ndani ya moyo wako. Hata ikitokea ukakutana na watu wanaokufahamu wala usije ukawaonea aibu wakaribishe wakuungishe ili siku utapoanza safari za kwenda dubai na china wawe ushuhuda wako.

Binafsi nilipomaliza chuo sikupata kazi kwa urahisi,,,kutokana na changamoto hiyo niliomba kazi ya usafi kwenye kampuni za usafi. Na degree yangu. Nilikutana na watu niliosoma nao wakiwa maofisa sikuwahi kuona aibu. Lkn kupitia kazi hiyo nikaja kupata kazi ya ndoto yangu. Kwa hiyo katika maisha usione aibu japokuwa kuna watu walikuwa wananicheka,,na kunidharau lkn kwangu sikuwahi kukata tamaaa.
Pambana .


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye kutafuta pesa usijali wengine wanakuchukuliaje wewe focus kwenye kile unachokitaka achana na walimwengu.
Mimi nilishawahi kutembeza door to door dagaa wa kukaanga tena makusudi naanzia kwenye mitaa ninayoishi wala sikujali nani ataongea nini wala kunionaje
Ulisukuma cargo mkoa gani?
 
Back
Top Bottom