Hivi kuna wanaofanyabiashara ya Umachinga wenye Degree pale Mbezi Mwisho?

Hivi kuna wanaofanyabiashara ya Umachinga wenye Degree pale Mbezi Mwisho?

Nimesoma. ARDHI UNI. Hapo jirani yakoo mzeee , isitoshe kukuambia kuwaa maisha ni the way unavyoishi....mzee.....weeee mbananaaa vya kutoshaa ili mradu mkono uende kinywani
 
Utoto unakusumbua mm nafanya kazi zote nabeba zege ...Nalima bustani...Nabeba maji kwenye madumu. Nasaidia fundi...Kibarua chochote halali nafanya. Hapa nilipo nina degree ya upper second class with honour.

Nilipata 2 ya 10 pcb form six ifunda tech. Nilipata division one form four ...Na kama iyo haitosh nilipata a hesabu form four..Ety unaona aibu ivi ni hadithi unaleta au uhalisia ..Nb...Na miaka mi4 ...Mtaani toka nimalize udsm
Ulisoma kozi gani UDSM
 
Lengo la swali langu hili ni kupata company kutoka kwa hawa wamachinga wa mbezi maana nami ninampango wa kufungua meza yangu ya biashara hapo mbezi mwisho. Nilishapata eneo na nimeongea na mmiliki na amenipa hadi details za ushuru ili niweze kufanya biashara yangu mpya kama mmchinga.
Uko sahihi

Wengi wanaosema wanaosema achana na degree ukapige kazi hawajui uzito wa degree na kazi yake

Sasa jipange uingie mtaani, huko degree zipo nyingi tu zaidi jipige kifua piga umachinga
 
Nimesoma. ARDHI UNI. Hapo jirani yakoo mzeee , isitoshe kukuambia kuwaa maisha ni the way unavyoishi....mzee.....weeee mbananaaa vya kutoshaa ili mradu mkono uende kinywani
Aisee nakubali kaka ngoja tupambane sasa
 
Uko sahihi

Wengi wanaosema wanaosema achana na degree ukapige kazi hawajui uzito wa degree na kazi yake

Sasa jipange uingie mtaani, huko degree zipo nyingi tu zaidi jipige kifua piga umachinga
Me nimeshakubali hali ya maisha kwa sasa haina haja ya aibu maana umasikini ni aibu zaidi. Asante sana kwa ushauri mkuu [emoji1488]
 
Ila km bado upo home na haujapanga,kunafursa ya kusoma ili ujiajiri ya dtb bank kitu km icho chagua coz moja usome alafu Zama kitaa na ujuzi mwingine,Mimi nimemaliza na degree ya accountacy ifm pale,sijapata ajira mpaka Leo Yani nimeniajiri mwaka wa tano sahiz Kuna Mambo nimefanikisha kwa upande wangu ni makubwa kulingana na jinsi nilivyopambana Ila ukweli kutumia mtaji na kuundeleza inahitaji roho ya paka,simaanishi utashidwa hapana Ila inabidi ujikatae Ila ukitumia ujuzi mtaani hutateseka kwa mfano ufundi umeme
 
Ila km bado upo home na haujapanga,kunafursa ya kusoma ili ujiajiri ya dtb bank kitu km icho chagua coz moja usome alafu Zama kitaa na ujuzi mwingine,Mimi nimemaliza na degree ya accountacy ifm pale,sijapata ajira mpaka Leo Yani nimeniajiri mwaka wa tano sahiz Kuna Mambo nimefanikisha kwa upande wangu ni makubwa kulingana na jinsi nilivyopambana Ila ukweli kutumia mtaji na kuundeleza inahitaji roho ya paka,simaanishi utashidwa hapana Ila inabidi ujikatae Ila ukitumia ujuzi mtaani hutateseka kwa mfano ufundi umeme
Kutafuta ujuzi inanibidi nirudi tena chuo na huko ni gharama ambazo kwa upande wangu nitashindwa kuzimudu.

Hivo option niliyokuwa nayo kipindi hiki ni hii biashara ya umachinga.. ndio tumaini langu la mwisho maana mtaji tayari ninao.

Kwasasa nimeshaamua kuanza kujikataa mwenye ngoja niende nikajichanganye na darasa la saba mkuu

Asante sana kwa ushauri mkuu [emoji1488]
 
Kutafuta ujuzi inanibidi nirudi tena chuo na huko ni gharama ambazo kwa upande wangu nitashindwa kuzimudu.

Hivo option niliyokuwa nayo kipindi hiki ni hii biashara ya umachinga.. ndio tumaini langu la mwisho maana mtaji tayari ninao.

Kwasasa nimeshaamua kuanza kujikataa mwenye ngoja niende nikajichanganye na darasa la saba mkuu

Asante sana kwa ushauri mkuu [emoji1488]
Una muda gan street?
 
Kutafuta ujuzi inanibidi nirudi tena chuo na huko ni gharama ambazo kwa upande wangu nitashindwa kuzimudu.

Hivo option niliyokuwa nayo kipindi hiki ni hii biashara ya umachinga.. ndio tumaini langu la mwisho maana mtaji tayari ninao.

Kwasasa nimeshaamua kuanza kujikataa mwenye ngoja niende nikajichanganye na darasa la saba mkuu

Asante sana kwa ushauri mkuu [emoji1488]
Ni bure 100%
 
hakuna kanuni yoyote uliosoma shule ikamafanya kazi mtaani.elimu hukuongea wewe ufaham wa mambo mbalimbali Katika kujitambua na kujisimamia zaidi.WEKA VYETI CHINI KAPIGE KAZI.
 
Dogo tayari ushafail...! coz you are going to engage with something while you are not free to attempt it.
You wont achieve it, coz you are ashamed of it and yourself.

Mimi kaka yako >11yrs back was employed and decided to quit it with a free will (NO MATTER WHAT COMES AHEAD).
AS LONGER AS I WANTED TO BE FREE, I ALWAYS UNDERTAKE MY ACTIVITIES FREELY, READY TO FACE WHOEVER COMES IN MY WAY.

Nimekutana na classmates kibao, smtms wengine wakiniona "WANACHIMBA" ila wale niliotemana nao late primary school kisha wakaingia "CHIMBO", huwa nawa SALUTE na kujiona as if NILICHELEWA.
 
Siku zote mwanzo mgumu

Mwanzo wa Kila kitu ni mgumu.

Anza Sasa baadae utashangaa mbona easy tu uoga ni adui mkubwa kwa vijana wengi wenye hamu ya kufanya biashara na ujasiriamali.
 
Back
Top Bottom