Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
Sawa endelea kufikiri hivyo mpaka siku ukikomaaSasa hiyo CCM inatakapondoka madarakani ndio tutapata hizo ajira?? Kumbuka tatizo la ajira ni Dunia nzima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa endelea kufikiri hivyo mpaka siku ukikomaaSasa hiyo CCM inatakapondoka madarakani ndio tutapata hizo ajira?? Kumbuka tatizo la ajira ni Dunia nzima
[emoji23] sasa mimi nikiwa mteja atauza nani? Kwenye hii biashara yangu??Kama una aibu akija mtu unamfahamu jigeuze kua mteja..
Bro piga Kazi, achana na watu , cha muhimu Pesaro, tumia degree yahoo vizuri hapo mbezi mwishoLengo la swali langu hili ni kupata company kutoka kwa hawa wamachinga wa mbezi maana nami ninampango wa kufungua meza yangu ya biashara hapo mbezi mwisho. Nilishapata eneo na nimeongea na mmiliki na amenipa hadi details za ushuru ili niweze kufanya biashara yangu mpya kama mmchinga.
Ok anyway mnajuwa kabisa kuna ile hali ambayo waswahili wanasema kuona aibu. Yes kabla ya kufikilia hili wazo langu nimekuwa muoga na mtu wa aibu hasa nikitaka kujaribu biashara ya umachinga. Huwa nafikiria sana nikiwepo pale mbezi na meza yangu ya biashara halafu ukicheki pale kuna mkusanyiko mkubwa wa watu, baadhi ya watu wanaonifahamu ni rahisi kukutana nao pale mbezi, sasa hofu yangu ni kwamba nitawaambia nini pindi wakiniona nimekuwa mmchinga na hii degree yangu??
Ila hili wazo nimepotezea kutokana na hali yangu ya kiuchumi na biashara yangu ya mara ya kwanza kukumbana na changamoto za kukosa wateja, maana hapa nilipo hakuna mkusanyiko mkubwa wa watu ukilinganisha na mbezi.
Hivo nimekuja mbele yenu mnipe courage (ujasiri) namna ya kuhimili hili wazo langu la biashara ya umachinga ukiachilia mbali degree niliokuwa nayo ili nisione aibu na nisijihisi niko pekee yangu tunaopitia hii hali ngumu ya kiuchumi hasa wale degree holder ambao tumeamua au wameshaanza kufanya biashara ya umachinga
#Natanguliza_shukurani_wakuuView attachment 2695481
Aaah sawa mkuu ngoja tukajichanganye naoDaaah kiongozi. We acha tu ni wengi hapo na sio hapo tu.ila hawasemi tu
Kabisa mkuu kidogo kidogo nitakaa sawa kisaikolojia. Ngoja nijilipueUtazoea tu.
Very simple alaf naona kun fursa zingine utapata ukiwa humo
Shukurani kaka. Nitafanya kama ulivyosema!Bro piga Kazi, achana na watu , cha muhimu Pesaro, tumia degree yahoo vizuri hapo mbezi mwisho
UDSM ulipga kozi gani?utoto unakusumbua mm nafanya kazi zote nabeba zege ...nalima bustani...nabeba maji kwenye madumu.....nasaidia fundi...kibarua chochote halali nafanya .....hapa nilipo nina degree ya upper second class with honour....nilipata 2 ya 10 pcb form six ifunda tech.....nilipata division one form four ...na kama iyo haitosh nilipata A hesabu form four..ety unaona aibu ivi ni hadithi unaleta au uhalisia ..nb...na miaka mi4 ...mtaani toka nimalize UDSM
Broh sio Ujilipue [emoji848][emoji848]Kabisa mkuu kidogo kidogo nitakaa sawa kisaikolojia. Ngoja nijilipue
Hivi kwani upo nchi gani Kiongozi?Nyie watoto wa mama hamjitambui siku MaCCM yatawalala kwa tabia hizi za kifala mlizonazo
Huwa nawaambia watu kuwa kazi ni ngumu kupata, ila shughuli za kufanya zipo mpaka kiyama kitakapokuja!!!!!!!utoto unakusumbua mm nafanya kazi zote nabeba zege ...nalima bustani...nabeba maji kwenye madumu.....nasaidia fundi...kibarua chochote halali nafanya .....hapa nilipo nina degree ya upper second class with honour....nilipata 2 ya 10 pcb form six ifunda tech.....nilipata division one form four ...na kama iyo haitosh nilipata A hesabu form four..ety unaona aibu ivi ni hadithi unaleta au uhalisia ..nb...na miaka mi4 ...mtaani toka nimalize UDSM
Leo umeamua kunipa wa maana sana! Shukurani mkuu, umeniongezea ujasiriWalikulipia ada?
Kukosa mchongo ni aibu zaidi kuliko kukaa mbezi kufanya yako
Sawa mkuu! Much thanks for your advice [emoji1488]Broh sio Ujilipue [emoji848][emoji848]
Never be ashamed of how you make MONEY[emoji383]
The goal is to SURVIVE not to IMPRESS[emoji3059]
Kabisa inabidi azingatie hapaMoja ya kanuni ni hii hapa:
“Trouble cannot be avoided, you either go looking for it or it will come looking for you.” – Constance Friday
Una degree ya faculty gn mkuuLengo la swali langu hili ni kupata company kutoka kwa hawa wamachinga wa mbezi maana nami ninampango wa kufungua meza yangu ya biashara hapo mbezi mwisho. Nilishapata eneo na nimeongea na mmiliki na amenipa hadi details za ushuru ili niweze kufanya biashara yangu mpya kama mmchinga.
Ok anyway mnajuwa kabisa kuna ile hali ambayo waswahili wanasema kuona aibu. Yes kabla ya kufikilia hili wazo langu nimekuwa muoga na mtu wa aibu hasa nikitaka kujaribu biashara ya umachinga. Huwa nafikiria sana nikiwepo pale mbezi na meza yangu ya biashara halafu ukicheki pale kuna mkusanyiko mkubwa wa watu, baadhi ya watu wanaonifahamu ni rahisi kukutana nao pale mbezi, sasa hofu yangu ni kwamba nitawaambia nini pindi wakiniona nimekuwa mmchinga na hii degree yangu??
Ila hili wazo nimepotezea kutokana na hali yangu ya kiuchumi na biashara yangu ya mara ya kwanza kukumbana na changamoto za kukosa wateja, maana hapa nilipo hakuna mkusanyiko mkubwa wa watu ukilinganisha na mbezi.
Hivo nimekuja mbele yenu mnipe courage (ujasiri) namna ya kuhimili hili wazo langu la biashara ya umachinga ukiachilia mbali degree niliokuwa nayo ili nisione aibu na nisijihisi niko pekee yangu tunaopitia hii hali ngumu ya kiuchumi hasa wale degree holder ambao tumeamua au wameshaanza kufanya biashara ya umachinga
#Natanguliza_shukurani_wakuuView attachment 2695481
Sawa nitalizingatia hiloKabisa inabidi azingatie hapa
Sawa mkuu nitajitahidi kutoboaWewe Fanya ya kwako huku mtaani watu hawatambui degree Yako,Cha muhimu toboa kwanza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Accounting mkuuUna degree ya faculty gn mkuu