Hivi kuna watu wapo humu na hawajawahi kabisa kufika jijini Dar es Salaam?

Ww ushawai kufika ukerewe? Ushawai kupakia mashuka? Inakuaje mtu una miaka 30+ hujui mashua wala hujawai ishi kisiwani?
Ukerewe, maisome, izumacheli, goziba, gana, kimoyomoyo, kome ilugwa hivyo visiwa vyote nishafika mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…