jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Sio dhambi,ila kuna wafuasi wa ala wanasubiri kwenda kupombeka na kuogelea kwenye mito ya pombe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muujiza wa kwanza wa kristo ni kubadili maji kuwa pombe katika harusi ya kana,ili watu wafurahie sherehe.Wagalatia 5:19-21
Basi matendo ya mwili ni dhahiri, ndiyo haya, uasherati, uchafu, ufisadi, ibada ya sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira, fitina, faraka, uzushi,
husuda, ulevi, ulafi, na mambo yanayofanana na hayo, katika hayo nawaambia mapema, kama nilivyokwisha kuwaambia, ya kwamba watu watendao mambo ya jinsi hiyo hawataurithi ufalme wa Mungu.
Kama una mpango wa kuingia Mbinguni au Peponi acha pombe,
inauwezo mkubwa wa kukukwamisha kuingia mbinguni.
1 Wakorintho 6 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
⁹ Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti,
¹⁰ wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi.
Mbingu ni ya watu safi,sober.
Mfano tu mdogo.
Kama kazini kwako huruhusiwi kwenda umelewa, je Mbinguni si zaidi.
Kati ya Mungu na Mwanadamu wa kuheshimiwa zaidi ni yupi?
Basi pombe haifai kwa mtu mwenye nia ya kwenda Mbinguni.
Mpe kileo yeye aliye karibu na kupotea; Kampe divai yeye aliye na uchungu nafsini.Wagalatia 5:19-21
Basi matendo ya mwili ni dhahiri, ndiyo haya, uasherati, uchafu, ufisadi, ibada ya sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira, fitina, faraka, uzushi,
husuda, ulevi, ulafi, na mambo yanayofanana na hayo, katika hayo nawaambia mapema, kama nilivyokwisha kuwaambia, ya kwamba watu watendao mambo ya jinsi hiyo hawataurithi ufalme wa Mungu.
Kama una mpango wa kuingia Mbinguni au Peponi acha pombe,
inauwezo mkubwa wa kukukwamisha kuingia mbinguni.
1 Wakorintho 6 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
⁹ Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti,
¹⁰ wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi.
Mbingu ni ya watu safi,sober.
Mfano tu mdogo.
Kama kazini kwako huruhusiwi kwenda umelewa, je Mbinguni si zaidi.
Kati ya Mungu na Mwanadamu wa kuheshimiwa zaidi ni yupi?
Basi pombe haifai kwa mtu mwenye nia ya kwenda Mbinguni.
Harusi ya Kana.Na hatujaeleza kuhusu "ulevi".Ni unywaji wa mvinyo.Muujiza wa kwanza wa kristo ni kubadili maji kuwa pombe katika harusi ya kana,ili watu wafurahie sherehe.
Pombe ni kilevi.Hayajasema msinywe bali yamesema MSILEWE..
Sasa wewe ni mtu wa Kana?Muujiza wa kwanza wa kristo ni kubadili maji kuwa pombe katika harusi ya kana,ili watu wafurahie sherehe.
Hapa imekataza kulewa au kunywa?
Kila kitu kisizidi uwezo wako kukihimili.Too much of anything is harmful.Lokoles huwa wenyewe kila kitu ni kibaya kwao.Yani ilimradi usifurahie maisha.Wapo medieval ages kila muda.
Inategemea na kiwango/kiasiPombe ni kilevi.
Hivyo ukinywa unalewa.
si hivyo tu bali pia,Wakuu, jana nimetoka kwenye mishe zangu nikapitia bar flani ya jirani kupooza koo kidogo.
Wakapita walokole flani hivi tunafahamiana nikawapungia mkono,wakaniita pembeni,jambo Lao kubwa likawa wananiambia eti niache kunywa pombe kwani unywaji wa pombe ni dhambi kubwa sana.
Nikawaitikia ila baadae nikafungua Biblia kutafuta mstari wowote unaosema kuwa kunywa bia ni dhambi lakini sijaona popote palipoandikwa hivyo.
So labda na nyie mnisaidie kujua wakuu,je kunywa pombe ni dhambi au sio dhambi?
Ukipiga funda moja la kimpumu utalewa?Pombe ni kilevi.
Hivyo ukinywa unalewa.
Biblia imekataza kunywa pombe sehemu za uovu/ufisadi kama sehemu za club na bar hiyo ni dhambi
Ha ha haUsinywe pombe kali zitakudhalilisha na upunguze kiwango.Kuitwa majesty siyo mchezo.Kuwa makini.
Nimekubali.Waovu wengi hupenda kujificha kwa kuwataja watumia pombe na wao wasitirike kwa maovu yao lukuki.Majungu, uzembe, mitusi, fitina, chuki, kusemgenya ni dhambi kuliko pombe
Btw pombe haina dhambi…
Dhambi ni matendo yatomanayo na matendo ya aliyezidisha kipimo cha pombe
Pombe lazima ulewe ukinywa ata bia moja Biblia imetoa angalizo usinywe pombe nyingiHapa imekataza kulewa au kunywa?
Hii imetufunga kamba, kwamba ukaenda kufunua Biblia yote kwa muda mchache ili kutafuta maandiko, teba ukiwa umetoka kunywa pombe!.Nikawaitikia ila baadae nikafungua Biblia kutafuta mstari wowote unaosema kuwa kunywa bia ni dhambi lakini sijaona popote palipoandikwa hivyo.
So labda na nyie mnisaidie kujua wakuu,je kunywa pombe ni dhambi au sio dhambi?
Umejibu kisanii.Anza upya kujibu mkuu.Pombe lazima ulewe ukinywa ata bia moja Biblia imetoa angalizo usinywe pombe nyingi