Hivi kunywa pombe ni dhambi?

Muujiza wa kwanza wa kristo ni kubadili maji kuwa pombe katika harusi ya kana,ili watu wafurahie sherehe.
 
Mpe kileo yeye aliye karibu na kupotea; Kampe divai yeye aliye na uchungu nafsini.
 
Muujiza wa kwanza wa kristo ni kubadili maji kuwa pombe katika harusi ya kana,ili watu wafurahie sherehe.
Sasa wewe ni mtu wa Kana?
Au pombe unayoinywa ni ya muujiza wa kristo?
Endelea kujipa ambavyo hukupewa, Ikiwa mganga tu hafanyi uganga akiwa kalewa au mteja wa mganga hapigiwi manyanga akiwa kalewa,
Wee huogopi?
 
si hivyo tu bali pia,
kunywa pombe kupita kiasi ni hatari kwa afya, maisha na uhai wako.

kunywa kistaarabu.

hakuna haja ya kubababika sana na wanaodai ni dhambi au si dhambi.

ukishakunywa pombe na kuufakamia kitimoto ya kutosha na kachumbari yenye ndimu na pilipili kwa mbali, usisahau kunywa maji, ni muhimu sana 🐒
 
Majungu, uzembe, mitusi, fitina, chuki, kusemgenya ni dhambi kuliko pombe

Btw pombe haina dhambi…

Dhambi ni matendo yatomanayo na matendo ya aliyezidisha kipimo cha pombe
 
Majungu, uzembe, mitusi, fitina, chuki, kusemgenya ni dhambi kuliko pombe

Btw pombe haina dhambi…

Dhambi ni matendo yatomanayo na matendo ya aliyezidisha kipimo cha pombe
Nimekubali.Waovu wengi hupenda kujificha kwa kuwataja watumia pombe na wao wasitirike kwa maovu yao lukuki.
 
.Nikawaitikia ila baadae nikafungua Biblia kutafuta mstari wowote unaosema kuwa kunywa bia ni dhambi lakini sijaona popote palipoandikwa hivyo.

So labda na nyie mnisaidie kujua wakuu,je kunywa pombe ni dhambi au sio dhambi?
Hii imetufunga kamba, kwamba ukaenda kufunua Biblia yote kwa muda mchache ili kutafuta maandiko, teba ukiwa umetoka kunywa pombe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…