Eeh hi nayo kali,nipe kwanza hilo Andiko.Biblia imekataza kunywa pombe sehemu za uovu/ufisadi kama sehemu za club na bar hiyo ni dhambi
Ila kweli mkuuPombe lazima ulewe ukinywa ata bia moja Biblia imetoa angalizo usinywe pombe nyingi
Si kweli.Ukionja tone moja la bia utalewa?Ila kweli mkuu
Wapi nimetaja kanisani pombe Kuna mazingira ukinywa ni haramu na Kuna mazingira ni halali kunywa pombe nyumbani kwako au sehemu iliyotulia ujazwe na Roho usinywe pombe sehemu ya bar au clubEeh hi nayo kali,nipe kwanza hilo Andiko.
Kwaio ukinywea pombe Kanisani au Msikitini sehemu takatifu takatifu haina shida eti?
Wewe unaweza kuishia tone moja, tuwe wakweliSi kweli.Ukionja tone moja la bia utalewa?
Ni kujifariji tu ila pombe ni dhambi.Inategemea na kiwango/kiasi
Kabisa.Usizidishe kipimo.Wewe unaweza kuishia tone moja, tuwe wakweli
Wagalatia 5:19-21
Basi matendo ya mwili ni dhahiri, ndiyo haya, uasherati, uchafu, ufisadi, ibada ya sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira, fitina, faraka, uzushi,
husuda, ulevi, ulafi, na mambo yanayofanana na hayo, katika hayo nawaambia mapema, kama nilivyokwisha kuwaambia, ya kwamba watu watendao mambo ya jinsi hiyo hawataurithi ufalme wa Mungu.
Kama una mpango wa kuingia Mbinguni au Peponi acha pombe,
inauwezo mkubwa wa
Tumieni akili kidogo. Wewe ni mgalatia au mkoritho? Acheni hizo bana. Sisi watz hatumo kabisa humo,tuacheni tufurahi. Mbona umalaya mbafanya? Mnakomaa tu pombepombeee!Wagalatia 5:19-21
Basi matendo ya mwili ni dhahiri, ndiyo haya, uasherati, uchafu, ufisadi, ibada ya sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira, fitina, faraka, uzushi,
husuda, ulevi, ulafi, na mambo yanayofanana na hayo, katika hayo nawaambia mapema, kama nilivyokwisha kuwaambia, ya kwamba watu watendao mambo ya jinsi hiyo hawataurithi ufalme wa Mungu.
Kama una mpango wa kuingia Mbinguni au Peponi acha pombe,
inauwezo mkubwa wa kukukwamisha kuingia mbinguni.
1 Wakorintho 6 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
⁹ Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti,
¹⁰ wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi.
Mbingu ni ya watu safi,sober.
Mfano tu mdogo.
Kama kazini kwako huruhusiwi kwenda umelewa, je Mbinguni si zaidi.
Kati ya Mungu na Mwanadamu wa kuheshimiwa zaidi ni yupi?
Basi pombe haifai kwa mtu mwenye nia ya kwenda Mbinguni.
Hili ndilo andiko linaloweka sawa kuhusu unywaji wa pombe wengine watasema kunywa pombe ila usilewe ila huwezi kunywa bila kulewaUmejibu kisanii.Anza upya kujibu mkuu.
Mm akili kidogo niliyotumia ni hii kwamba kama kazini kwangu si ruhusiwi kwenda nimelewa ,je Mbinguni si zaidi?Tumieni akili kidogo. Wewe ni mgalatia au mkoritho? Acheni hizo bana. Sisi watz hatumo kabisa humo,tuacheni tufurahi. Mbona umalaya mbafanya? Mnakomaa tu pombepombeee!
Ungemfungulia biblia asome hapaWakuu, jana nimetoka kwenye mishe zangu nikapitia bar flani ya jirani kupooza koo kidogo.
Wakapita walokole flani hivi tunafahamiana nikawapungia mkono,wakaniita pembeni,jambo Lao kubwa likawa wananiambia eti niache kunywa pombe kwani unywaji wa pombe ni dhambi kubwa sana.
Nikawaitikia ila baadae nikafungua Biblia kutafuta mstari wowote unaosema kuwa kunywa bia ni dhambi lakini sijaona popote palipoandikwa hivyo.
So labda na nyie mnisaidie kujua wakuu,je kunywa pombe ni dhambi au sio dhambi?
Sàsa hukuelewa nini? Walokole wamekwambia kunywà POMBE ni dhambi kubwa sana.Wakuu, jana nimetoka kwenye mishe zangu nikapitia bar flani ya jirani kupooza koo kidogo.
Wakapita walokole flani hivi tunafahamiana nikawapungia mkono,wakaniita pembeni,jambo Lao kubwa likawa wananiambia eti niache kunywa pombe kwani unywaji wa pombe ni dhambi kubwa sana.
Nikawaitikia ila baadae nikafungua Biblia kutafuta mstari wowote unaosema kuwa kunywa bia ni dhambi lakini sijaona popote palipoandikwa hivyo.
So labda na nyie mnisaidie kujua wakuu,je kunywa pombe ni dhambi au sio dhambi?
Kama ni dhambi Kristo asingeyageuza maji kuwa mvinyo ulio bora pale kwenye harusi ya KanaNi kujifariji tu ila pombe ni dhambi.
na hivyo vyote wanavyokataza hadharani, wao wenyewe wanavifanya kwa siri....lokoles ni wanafiki NAMBARI wani..🚮🚮Kila kitu kisizidi uwezo wako kukihimili.Too much of anything is harmful.Lokoles huwa wenyewe kila kitu ni kibaya kwao.Yani ilimradi usifurahie maisha.Wapo medieval ages kila muda.
Mvinyo sio bia 👍