Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Ni kwasababu umeharibu kuwafananisha na wengine embu jaribu kuwatazama Kama manabii kua kila mtu amebeba ujumbee wake kwa wakati wakee utagundua kila muimbaji ana upako na baraka zake kwa nyakati na majira tofauti.Wakuu
Sasa hivi nimetulia ghetto nikipata kusikiliza gospel za hao watu wawili ,fanuel sedekia na Angela muriri chibalonza
Nimegundus hao watu walikuwa mbele ya muda..
Itachukua muda sana kuziba mapengo yao..
Je kuna waliofanikiwa kuziba mapengo yao mpk sasa?
Ghetto unakula zako ndum sio?Wakuu
Sasa hivi nimetulia ghetto nikipata kusikiliza gospel za hao watu wawili ,fanuel sedekia na Angela muriri chibalonza
Nimegundus hao watu walikuwa mbele ya muda..
Itachukua muda sana kuziba mapengo yao..
Je kuna waliofanikiwa kuziba mapengo yao mpk sasa?
Yote sawa mkuuNDIO MKUU KUNA NABII NA ZAMA ZAKE NI SUALA LA MUDA TU WATATOKEA WASANII WAKALI ZAIDI YA HAO
ILA KWA UPANDE WANGU NAMKUBALI SANA CHRISTINA SHUSHO ZAIDI YA CHIBALONZA
Hivi nini kilichomuua?Angela alikuwa si wa mchezo hata kidogo.
NdioGhetto unakula zako ndum sio?
Kweli shusho walikuwa vizuri ila naona siku hizi skendo zinamuharibiaNi mbali tumetoka hakika wewe ni ebenezer.
Yupo Shusho.
Huwa watu kama hao wanatokea baada ya miaka 100 tusubiri tu Mkuu.
Aliondoka mapema sanaMimi si mpenzi wa Gospel ila huyo Angela ni nyo..ko
R.I.P