Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
- Thread starter
- #41
Mara kaolewa Mara kaachika Mara nini sijui alizinguaYes skendo ni mbaya kwa muimbaji wa njimbo za dini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mara kaolewa Mara kaachika Mara nini sijui alizinguaYes skendo ni mbaya kwa muimbaji wa njimbo za dini.
nyimbo zake nazikubali mnoJohn Lissu bila vyombo hawez
Hadi utamu wa Yesu mwenzio ana ujua, unadhan masikhara Yesu hadi kumpa utamu wake yeye.Anakwambia kamata pindo la yesu shikilia hahahah
Hata wa baada ya "Utamu Wa Yesu"Rose Muhando wa kabla ya 'Nibebe'
Hajapata kutokea kama mtumishi wa Mungu Fanuel Sedekia, john lissu anajitahidi ila yupo ki showoff zaidi kama mwenzie wa niko na ubaya.R.I.p sizani kama watatokea
Ila kuna hawa wakali wengine:
Upendo Nkone
John Lisu
Ambwene Messenger
Hilo zee nilikuwa nalisikiliza nalichukulia poa ila naona nyimbo zake zinaniingia taratibu. Linajua sana.Angel Chibalonzi ilikuwa ni karama ya rohoni haswa, licha ya uimbaji, nahisi alikuwa na kitu kingine cha rohoni Mungu ameweka.
Sedekia pia ni mzuri mno.
Abiud ni moja ya waimbaji bora kbs aliyebakia. Nyimbo zake nyingi zipo rohoni mno.
Mm nampenda sana Abiud na Chibalonza kuwasikiliza.
Si kwamba alikua mkenya?Naomba kujua kama chibalonza aiiacha watoto au mume
Walikuwa RAIA wa nchi gani naskia Congo ,wengine wanasema ni mrundi
Skendo gani tena?Kweli shusho walikuwa vizuri ila naona siku hizi skendo zinamuharibia
Mara kaolewa Mara kaachika Mara anatoka na nani sijui ..Skendo gani tena?
Inawezekana ni kweli acha tuone majibuSi kwamba alikua mkenya?
Mkuu nna imani unataniaChibalonza wako wengi tu ila kwa Sedekia wako wachache saana ila Abiud ni kiboko zaidi ya wote hao
Yaani kuna watu wana vipaji extra ordinary. Mimi huwa najiuliza tu watu wale walioimba nyimbo za Christmas, Jingle bells yaani imekuwa anthem miaka yoteWakuu,
Sasa hivi nimetulia ghetto nikipata kusikiliza gospel za hao watu wawili ,fanuel sedekia na Angela muriri chibalonza
Nimegundua hao watu walikuwa mbele ya muda.
Itachukua muda sana kuziba mapengo yao.
Je, kuna waliofanikiwa kuziba mapengo yao mpk sasa?