Hivi kutoka kuwa Mkuu wa JKT mpaka kuwa Mkuu wa Mkoa ni kupanda au kushuka?

Hivi kutoka kuwa Mkuu wa JKT mpaka kuwa Mkuu wa Mkoa ni kupanda au kushuka?

Nafaka

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
12,154
Reaction score
31,246
Nimeona Mkuu wa JKT, Brigedia Jenerali Charles Mbuge ameteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera.

Je, amepanda au ameshuka?

Mbuge.jpg
 
Mimi na mwendazake ni kitu kimoja, shida askari anapokuwa mwanasiasa badala ya kuwa askari,nchi nyingine askari anateuliwa kwenye nadhifa za kisiasa na serikali ama akisataafu au akiacha uaskari.
 
Halafu ameshuka na cheo kimoja maana tittle yake imeandikwa Brig General na wakati aliekua Brig general Gaguti yeye tittle imeandikwa Mej General
 
Halafu ameshuka na cheo kimoja maana tittle yake imeandikwa Brig General na wakati aliekua Brig general Gaguti yeye tittle imeandikwa Mej General
Nadhani Ni Makosa Ya Uandishi
DG PCCB Ametajwa Brig General Wakati Sasa Hivi Ni Major General
 
Amepanda sana! yupo kwenye ngazi ya utawala! ametoka kundi la kuwatumikia watawala na kuwa ngazi ya utawala. ndio maana jeshini hata uwe na cheo gani ila mkuu wa mkoa unampigia saluti. Shida inakuja wakikiutana na mkuu wa majeshi sijui hapo nani anampigia saluti mwenzanke
 
amepanda sana! yupo kwenye ngazi ya utawala! ametoka kundi la kuwatumikia watawala na kuwa ngazi ya utawala. ndio maana jeshini hata uwe na cheo gani ila mkuu wa mkoa unampigia saluti. shida inakuja wakikiutana na mkuu wa majeshi sijui hapo nani anampigia saluti mwenzanke
General Ni Mkubwa Kwa Major General
Hivyo Atapiga Salute
 
amepanda sana! yupo kwenye ngazi ya utawala! ametoka kundi la kuwatumikia watawala na kuwa ngazi ya utawala. ndio maana jeshini hata uwe na cheo gani ila mkuu wa mkoa unampigia saluti. shida inakuja wakikiutana na mkuu wa majeshi sijui hapo nani anampigia saluti mwenzanke
mkuu wa majeshi atapigiwa tuu
 
Back
Top Bottom