Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Mikoa ya mipakani yenye viashiria vya uchochezi huwa wanawekwa wanajeshi tena wenye ngazi ya juu kwa ajili ya kudhibiti mienendo ya waasi...Mambo Mengine Yanatia Kinyaa!!
Teuzi Hizi Sijui Huwa Wanawaza Nini
Mtwara na Ruvuma kwa sasa nazo zimepewa RC wanajeshi pengine kwa ajili ya kupambana kwa namna yoyote na wale waasi wa Msumbiji...
Mikoa kama Kagera na Kigoma ni karibu kila muhula utakuta ma RC ni watu wa jeshi...
Sent using Jamii Forums mobile app