Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana , si kushuka. Huenda amestaafu. Aliyekuwepo kabla yake naye alikwenda kuwa wa mkoa fulani nyanda za juu kusiniHiyo ni demotion.mkuu wa jkt ni mtu mkubwa sana
Labda kama wote watakuwa wamevaa sare za jeshi vinginevyo CDF atampigia RCmkuu wa majeshi atapigiwa tuu
Kupanda na kushukaMbona wanyonge mnaongelea sana mambo ya watu wengine kupanda au kushuka, hizo zote ni nafasi za kiutumishi...unapoongelea kupanda na kushuka unakuwa unalenga nini hasa.
Nimeona Mkuu wa JKT, Brigedia Jenerali Charles Mbuge ameteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera.
Je, amepanda au ameshuka?
Salary zao ni zile zile ambazo ambazo alikuwa analipwa ni kama mtu wa TRA au bandari ateuliwe kuwa RC salary aliyotoka nayo inaendeleaKiulaji, ameshuka! Kisiasa, amepanda!
Unajua alioiga kazi sana ..sasa JPM akampandisha haraka haraka sasa kwa kuwa mama anataka kuweka wqtu wake jeshini...imebidi amutumbue kiutu uzima kwani kumbakisha pale inaweza kuwa hatari labda kwa wqtu wengine kuoanda kwani huwezi ukampandishq mtu wako ambaye anarank ya chini ukamuacha huyo.DEMOTION Charles Mbuge kilicho mgaharimu ni kuwa karibu na Hayati JPM.
Ila ndio hivyo maisha lazma yaendelee
Za zaidi ya yote hata MABEYO ANAONDOKA MDA SI MREFU KWANI MAMA LAZIMA AWEKE MTU WAKE ANAYEMUAMINI.SASA HUWEZI UKAWEKA MTU KAMA MKUU WA MAJESHI WAKATI WENYE RANK JUU YAKE BAO WAPO KWENYE SYATEM NDO MAANA UNAANZA KUWAKA VYEO VYA KINAFIKI KAMA URCUnajua alioiga kazi sana ..sasa JPM akampandisha haraka haraka sasa kwa kuwa mama anataka kuweka wqtu wake jeshini...imebidi amutumbue kiutu uzima kwani kumbakisha pale inaweza kuwa hatari labda kwa wqtu wengine kuoanda kwani huwezi ukampandishq mtu wako ambaye anarank ya chini ukamuacha huyo.
Yeah nakumbuka alirukishwa vyeo hatari,alitoka luten kanali mpaka Brigedia General bila kwenda hata kozi then baada ya muda mfupi akapewa umeja jeneral na kupewa madaraka ya kuongoza JKT.Kupanda na kushuka
Nyie msiwe mnashangaa hayo majina ya vyeo vya kijeshi hao ni sawa na Maras wa Mikoa tu . Kumbuka wakuu wote wa Majeshi ni wadogo kwa katibu mkuu wa Wizara ila Wakuu wa Mikoa wapo karibu daraja Moja moja na Mawaziri .Kumbuka vita ya Makonda na Nape.Nimeona Mkuu wa JKT, Brigedia Jenerali Charles Mbuge ameteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera.
Je, amepanda au ameshuka?
Nfikiri pia, hayati alikua anamuandaa Mbuge kua Mkuu Majeshi ya Ulinzi na UsalamaDEMOTION Charles Mbuge kilicho mgaharimu ni kuwa karibu na Hayati JPM.
Ila ndio hivyo maisha lazma yaendelee
Mama anaingiza watu wake ambao watakuwa loyal kwake kaanza na huyu, CDF, IGP and DGIS hawana muda mrefu.Nfikiri pia, hayati alikua anamuandaa Mbuge kua Mkuu Majeshi ya Ulinzi na Usalama
Bila kuwa karibu na hayati angepataje huo ubrigediaDEMOTION Charles Mbuge kilicho mgaharimu ni kuwa karibu na Hayati JPM.
Ila ndio hivyo maisha lazma yaendelee