Mikoa ya mipakani yenye viashiria vya uchochezi huwa wanawekwa wanajeshi tena wenye ngazi ya juu kwa ajili ya kudhibiti mienendo ya waasi...Mambo Mengine Yanatia Kinyaa!!
Teuzi Hizi Sijui Huwa Wanawaza Nini
Geshi Jeshi MipakaniMikoa ya mipakani yenye viashiria vya uchochezi huwa wanawekwa wanajeshi tena wenye ngazi ya juu kwa ajili ya kudhibiti mienendo ya waasi...
Mtwara na Ruvuma kwa sasa nazo zimepewa RC wanajeshi pengine kwa ajili ya kupambana kwa namna yoyote na wale waasi wa Msumbiji...
Mikoa kama Kagera na Kigoma ni karibu kila muhula utakuta ma RC ni watu wa jeshi...
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeona Mkuu wa JKT, Brigedia Jenerali Charles Mbuge ameteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera.
Je, amepanda au ameshuka?
Yaani ni kama wamemshusha kiaina maana alikuwa anaandaliwa na mwenda zake kuwa mkuu wa majeshi alipandishwa vyeo harakaharaka kuliko kawaida,Mbuge kwakweli alijua kuicheza ngoma ya jiwe busungu akasomeHapana , si kushuka. Huenda amestaafu. Aliyekuwepo kabla yake naye alikwenda kuwa wa mkoa fulani nyanda za juu kusini
Baada ya miezi 6Yeah nakumbuka alirukishwa vyeo hatari,alitoka luten kanali mpaka Brigedia General bila kwenda hata kozi then baada ya muda mfupi akapewa umeja jeneral na kupewa madaraka ya kuongoza JKT.
Mkuu wa Majeshi ndo atampigia RC (Mwakilishi wa Rais) saluteamepanda sana! yupo kwenye ngazi ya utawala! ametoka kundi la kuwatumikia watawala na kuwa ngazi ya utawala. ndio maana jeshini hata uwe na cheo gani ila mkuu wa mkoa unampigia saluti. shida inakuja wakikiutana na mkuu wa majeshi sijui hapo nani anampigia saluti mwenzanke
mzee huna unalojua....Amepanda......
Kutoka UKAMISHNA wa kuripoti kwa mkuu wa JESHI LA ULINZI mpaka UKAMISHNA wa KURIPOTI KWA RAIS......
sio kweli....ikiwa RC ambae ni mwanajeshi...anajua protocal za kijeshi na siku hiyo wakikutana huku RC akiwa amevaa uniform...atakae anza kupiga saluti ni RC...SALUTI ata mgambo asie na cheo chochote anaweza kupigiwaMkuu wa Majeshi ndo atampigia RC (Mwakilishi wa Rais) salute
mnatafsiri mambo kishule shule.Kutoka kuwa kuu wa taasisi overall inchi nzima mpaka kuwa confined Kwenye kimkoa kimoja!
hakuna shida mkuu wakivaa uniform wote yeye atapiga salute.Amepanda sana! yupo kwenye ngazi ya utawala! ametoka kundi la kuwatumikia watawala na kuwa ngazi ya utawala. ndio maana jeshini hata uwe na cheo gani ila mkuu wa mkoa unampigia saluti. Shida inakuja wakikiutana na mkuu wa majeshi sijui hapo nani anampigia saluti mwenzanke
mnatafsiri mambo kishule shule.
mkuu wa kitengo ndani ya jeshi,hawezi kuwa sawa na mkuu wa mkoa mzima.
mkuu wa jkt anaripoti kwa mnadhimu,halafu mkuu wa majeshi.
mkuu wa mkoa anaripoti kwa rais moja kwa moja.
hiyo ni kuonyesha kuna kamanda hapo,halafu kuna kiongozi.kwamba sasa anakwenda kujibia taasisi zaidi ya moja eneo fulani.
hata kiukubwa mkoa mmoja una watu,na pilika nyingi kuliko hiyo jkt nzima.
kinachopungua hapo labda ulaji ulaji.
CDF naona amepatia sanaMama anaingiza watu wake ambao watakuwa loyal kwake kaanza na huyu, CDF, IGP and DGIS hawana muda mrefu.
🤣🤣🤣🤣mzee huna unalojua....
Komenti ya DHAHABU....👍mnatafsiri mambo kishule shule.
mkuu wa kitengo ndani ya jeshi,hawezi kuwa sawa na mkuu wa mkoa mzima.
mkuu wa jkt anaripoti kwa mnadhimu,halafu mkuu wa majeshi.
mkuu wa mkoa anaripoti kwa rais moja kwa moja.
hiyo ni kuonyesha kuna kamanda hapo,halafu kuna kiongozi.kwamba sasa anakwenda kujibia taasisi zaidi ya moja eneo fulani.
hata kiukubwa mkoa mmoja una watu,na pilika nyingi kuliko hiyo jkt nzima.
kinachopungua hapo labda ulaji ulaji.
AMEPATIA KIVIPI?CDF naona amepatia sana
Amepanda......
Kutoka UKAMISHNA wa kuripoti kwa mkuu wa JESHI LA ULINZI mpaka UKAMISHNA wa KURIPOTI KWA RAIS.