hermanthegreat
JF-Expert Member
- Mar 2, 2021
- 1,274
- 3,282
Wakuu tujuzane hapa , naona Kama nishapitiliza, au niendelee tu kuwa single.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwongo huuKila kitu kina wakati na nafasi yake.
👉Usifate mkumbo, au kushauriwa kwa mihemuko na vitisho.
👉Pambania Malengo yako, maana ndoa SI flirting tu.
DUH.....Kuwa single ni aina mojawapo ya ulemavu
Haaaaaaaaaaa[emoji3064][emoji849][emoji849] unatushaur tufanyej lbdaaaKuwa single ni aina mojawapo ya ulemavu
nilifikiri unapandisha bendela kwa mkono mmoja kwa kujichukulia sheria mkononiMi ukiniuliza nipo single au na mahusiano hata sielewi status yangu kwa saiv. Ila na marafiki wengi wa kike ntakaewasiliana nae sana kwa wakati flan ndo atanitatulia changamoto ya upwiru pia wengine nawapata huko nakotafutia mkate wa Kila siku.
Ila kusema na strong relationship hapana tunaponea hvo Kwa marafiki, maex, na wengn kikubwa siku ziende
It's up to you, Sina nguvu ya kubishana. Wakati hatupipwiUwongo huu
Msifanye kituHaaaaaaaaaaa[emoji3064][emoji849][emoji849] unatushaur tufanyej lbdaaa
Mkuu upo??huo ni mtidio
Hyo nlijaribu miaka nipo uboyzn na venyewe sikujilipua sana maana Malindi, Red stone & black diamond zilitusaidia Kwa kiasi kikubwanilifikiri unapandisha bendela kwa mkono mmoja kwa kujichukulia sheria mkononi
laliga hukuwahi kufikaHyo nlijaribu miaka nipo uboyzn na venyewe sikujilipua sana maana Malindi, Red stone & black diamond zilitusaidia Kwa kiasi kikubwa
Hahahaha sawa.. (Ila cyo ulemavu).Msifanye kitu
Bakini na ulemavu wenu
nipo mkuu tunapishana majukwani tuh.saivi niko na hawa jamaa wa chadema si unajua bila bakora hawaendiMkuu upo??
Kama umeshapitiliza Hakuna Namna baki Ivo Ivo. Hakunaga reverse...Wakuu tujuzane hapa , naona Kama nishapitiliza, au niendelee tu kuwa single.