Aneel munawar
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 4,580
- 8,141
Jibu la kitaalamu kabisaUkiongelea mahusiano ya mwanaume na mwanamke kuhusiana na sexually pleasure na utashi wa kujenga familia, wote wawili ni wahitaji.
Lakini ukiongelea ule mkataba wa kitapeli kwa mwanaume ulipewa jina la ndoa bila shaka mhitaji mkubwa zaidi ni mwanamke kwa sababu ndie anaenufaika nao.