Hivi kwa dunia ilipofukia leo yupi mwenye uhitaji zaidi wa ndoa kati ya Mwanamke na Mwanaume?

Jibu la kitaalamu kabisa
 
Kwangu mi motive ni familia🤣 si vinginevyo
 
Kikubwa ni familia kaka, ila ndoa nI mtiani kwakweli
Familia Ili iweje Sasa? Kuna aina za familia pia ambazo sio lazima uwe umeoa au kuolewa na ukawa na familia Kwa nijuavyo mtoto na baba/mama pia ni familia Sasa sijui una maanisha nini?
 
Kwa uzoefu wangu ni kwamba wanao nizunguka (ndugu jamaa na marafiki) ndio wanauitaji mkubwa maana kila siku wananiuliza mbona auoi?
Unaohisi kwanini? Sio kwamba tumemezeshwa na wazungu mikataba hii ya ndoa ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…