Donkey
JF-Expert Member
- Dec 17, 2010
- 1,499
- 1,584
Una kiwango gani Cha elimuOkeee
Kwani biblia inasemaje??
Je ukizeeka nani atakupeleka hospitali kama sio mkeo??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una kiwango gani Cha elimuOkeee
Kwani biblia inasemaje??
Je ukizeeka nani atakupeleka hospitali kama sio mkeo??
Swali zuri Sana hiliUna kiwango gani Cha elimu
Humu kuna matapeli wa mapenzi, masingo daima, waliyoowa na wasiyoowa. Tunaheshimu mawazo yako.Ila waliyoamuwa kuoa na kuolewa wacha wasongembele.Naomba nisisitize hili kwa mara nyingine tena. Ndoa lengo lake kuu ni uroda.
Zama hizo (mwaka 47) watu walikuwa na maadili ya kufa mtu kiasi kwamba ambaye hajaingia kwenye ndoa ilikuwa haliwezekani kupata uroda. Basi hapa ndipo watu wakakazana kuoana.
Miaka hii tunatongozana kila mahali, kila wakati tena kirahisi kabisa.....kwa njia ya simu na kuna apps chungu nzima. Uroda nje nje!!
Haya katika mazingira kama haya ndoa ya nini? Unaingia kwenye ndoa ukagundue nini usichokijua?
Imeisha hiyo....[emoji1666]Pamoja na mavanga vanga yote, ndoa ni heshima, taasisi, na chombo salama cha kulea na kukuza familia na watoto.
Magufuli mtoe kwenye list, mtoa mada kaongelea ndoa hajaongelea kuzaa,tuzae ila mambo ya kuoan noLengo la ndoa sio hilo lengo la ndoa ni kuunganisha kizazi kimoja na kizazi kingine na ndio maana kwenye ndoa unaweza ukaona wanandoa wema wanapata uzao usio na baraka halafu wanandoa wa ajabu ajabu wanapata kizazi cha baraka ukitaka kujua ndoa ni zaidi ya sex angalia,
Mke wa nabii lutwi
Mke wa firauni
Hiyo ni mifano tu hvyo mnaweza mkakutana wanandoa ambao hampendani au hamuendani ila mungu ndo kapanga muzae mtoto aje awe magufuli, mwakasege,kishiki au mama samia hvyo ndoa inapangwa mbinguni sisi tunatimiza tu ahadi yake.
Good. Wewe umenielewa mkuuMagufuli mtoe kwenye list .mtoa mada kaongelea ndoa hajaongelea kuzaa,tuzae ila mambo ya kuoan no
Aah Wapi. Unausemea moyo wa mwenzako pia?Kwakweli labda kama ndoa ina misukosuko lakini kwa mtu kama mimi ndoa ni tamu kila siku ni wapya tu
Stashahada ya juu!Una kiwango gani Cha elimu
Sasa utafanyaje umalaya malaya wakati una goma lako home?Ndiyo kusema umalaya haufanywi na wanandoa? Kuwa serious basi mkuu
Nchi nzima ya Tanzania, zinazoitwa "nyumba ndogo" au kule Kenya "mpango wa kando"zinamilikiwa na walio ndani ya ndoa.Sasa utafanyaje umalaya malaya wakati una goma lako home?
Jaribu kufanya tafakari mkuu
Kwa nini sasa watu wanaoa?Nchi nzima ya Tanzania, zinazoitwa "nyumba ndogo" au kule Kenya "mpango wa kando"zinamilikiwa na walio ndani ya ndoa.
Unapima wap huo uzito??Kwa Mungu hakuna grade ya dhambi (dhambi zote zina uzito sawa)
Ndiyo hapo nashangaa hata mmKwa nini sasa watu wanaoa??
Naomba nisisitize hili kwa mara nyingine tena. Ndoa lengo lake kuu ni uroda.
Zama hizo (mwaka 47) watu walikuwa na maadili ya kufa mtu kiasi kwamba ambaye hajaingia kwenye ndoa ilikuwa haliwezekani kupata uroda. Basi hapa ndipo watu wakakazana kuoana.
Miaka hii tunatongozana kila mahali, kila wakati tena kirahisi kabisa.....kwa njia ya simu na kuna apps chungu nzima. Uroda nje nje!!
Haya katika mazingira kama haya ndoa ya nini? Unaingia kwenye ndoa ukagundue nini usichokijua?
Hata wewe unaweza kujua kupitia maandiko mkuu. Soma misahafu utayajuaUnapima wap huo uzito??
Umejuaje hakuna grade?? Hadi unabisha?
Umefika huko ukaona??
Kwahiyo mkuu unajaribu kusema kwamba kila mtu anaona umuhimu tofauti wa ndoa?
Safari naiona ileeeeeeWaraka wa Waebrania 13:4
Ndoa na iheshimiwe na watu wote, na malazi yawe safi; kwa maana waasherati na wazinzi Mungu atawahukumia adhabu.