Hivi kwa dunia ya leo mnafuata nini kwenye ndoa? Ndoa ni mambo ya zama za kale

Hivi kwa dunia ya leo mnafuata nini kwenye ndoa? Ndoa ni mambo ya zama za kale

Naomba nisisitize hili kwa mara nyingine tena. Ndoa lengo lake kuu ni uroda.

Zama hizo (mwaka 47) watu walikuwa na maadili ya kufa mtu kiasi kwamba ambaye hajaingia kwenye ndoa ilikuwa haliwezekani kupata uroda. Basi hapa ndipo watu wakakazana kuoana.

Miaka hii tunatongozana kila mahali, kila wakati tena kirahisi kabisa.....kwa njia ya simu na kuna apps chungu nzima. Uroda nje nje!!

Haya katika mazingira kama haya ndoa ya nini? Unaingia kwenye ndoa ukagundue nini usichokijua?
Wewe unataka tuwe na taifa la kimalaya malaya sio! Ndoa ni msingi wa familia bora. How can we raise the up coming generation with this attitude? Hata masharti ya kuwa rais wa nchi sharti uwe umeoa au kuolewa,wajua ni kwa nini?we kalia ngono sasa!

Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
 
?Hata masharti ya kuwa rais wa nchi sharti uwe umeoa au kuolewa,wajua ni kwa nini?
Nchi gani unaongelea??
Kwa hapa Tanzania sifa za kugombea urais ni kama zilivyobainishwa na katiba hapa chini. Hiyo ya ndoa haipo.

IMG_20220601_233400_893.jpg

IMG_20220601_233550_626.jpg
 
Ndoa ni taasisi, iheshimiwe na kufuatwa.

Vipi tufute taasisi ya uraisi kwa sababu sasa hivi kila mtu anaweza kujiongoza?
 
Naomba nisisitize hili kwa mara nyingine tena. Ndoa lengo lake kuu ni uroda.

Zama hizo (mwaka 47) watu walikuwa na maadili ya kufa mtu kiasi kwamba ambaye hajaingia kwenye ndoa ilikuwa haliwezekani kupata uroda. Basi hapa ndipo watu wakakazana kuoana.

Miaka hii tunatongozana kila mahali, kila wakati tena kirahisi kabisa.....kwa njia ya simu na kuna apps chungu nzima. Uroda nje nje!!

Haya katika mazingira kama haya ndoa ya nini? Unaingia kwenye ndoa ukagundue nini usichokijua?
Nimeishia hapo uliposema ndoa ni uroda. Una umri gani mkuu? Sore lakini
 
Naomba nisisitize hili kwa mara nyingine tena. Ndoa lengo lake kuu ni uroda.

Zama hizo (mwaka 47) watu walikuwa na maadili ya kufa mtu kiasi kwamba ambaye hajaingia kwenye ndoa ilikuwa haliwezekani kupata uroda. Basi hapa ndipo watu wakakazana kuoana.

Miaka hii tunatongozana kila mahali, kila wakati tena kirahisi kabisa.....kwa njia ya simu na kuna apps chungu nzima. Uroda nje nje!!

Haya katika mazingira kama haya ndoa ya nini? Unaingia kwenye ndoa ukagundue nini usichokijua?
Tunajua
 
Back
Top Bottom