Hivi kwa haraka haraka ng'ombe 400 watakua ni bei gani

wa stendi

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2016
Posts
25,190
Reaction score
27,434
Nimeona huko mkoani Arusha mkuu wa mkoa huo kachicha ng'ombe 400 watu wale nyama bure bila malipo yoyote.

Hapa nimejiuliza hivi ng'ombe 400 watakua na thamani ya bei gani na kwa nini kafanya hivyo ana lengo gani!hata kama katumia hela yake?

Binafsi ningekuwepo nisingekula
 
bei ya chini milioni na ukiweka pesa ya serikali inakuwa kila pesa ya ng'ombe na washenzi ni milioni 3
 
Kama ni wale Ankole (wenye pembe ndefu na hawana nundu). Gharama yake ni kwenye sh 320m kwa wastani wa sh 800,000 /= kila ng'ombe na kama ni hawa Zebu (wenye nundu na umbile dogo na pembe fupi) ni sh 200 m. Kwa wastani wa sh 500, 000/= kwa ng'ombe. Bei hizi ni huko poli la Buligi.
 
We
We kale nyama.Maswali mengi ya nini?Ingekuwa kuku hapo usingeuliza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…