JUA ni Kali Sana
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 1,202
- 1,543
Almost million 390 hadi 405, lengo Lao ni kuwalaghai wananchi kuelekea oktoba na mbio za makonda kumvua Cheo Gambo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio yupo sahihi ila sio 10 million 10 haitoshi darasa 1Hilo darasa la 10m ni darasa au hema?
Kumbe mkuu huko burigi wanapatikana kwa uwingi?Kama ni wale Ankole (wenye pembe ndefu na hawana nundu). Gharama yake ni kwenye sh 320m kwa wastani wa sh 800,000 /= kila ng'ombe na kama ni hawa Zebu (wenye nundu na umbile dogo na pembe fupi) ni sh 200 m. Kwa wastani wa sh 500, 000/= kwa ng'ombe. Bei hizi ni huko poli la Buligi.
Inatosha milion 10 kujenga darasaNdio yupo sahihi ila sio 10 million 10 haitoshi darasa 1
Haitoshi labda km haufanyii finishingInatosha milion 10 kujenga darasa
Hakuna darasa la 10m. Angalau ungesema 20mLabda kama ni ndama, ng'ombe kweli kweli ni milioni 1
1×400= 400m
Madarasa 40 ya shilingi milioni 10@
Kuna muda wa bima na muda wa nyama. Acha watu wale nyama1 × 400 = mil 400
Binafsi nimechukizwa na hili jambo najua kuna watu wamapitia changamoto angeweza kuwatakatia hata Bima za Afya kuliko kuchoma Nyama ambayo mtu anakula na kesho anaamka na njaa.
Tunaharibu sana pesa kiukweli ni vile hatuna visionary leaders
View attachment 3262906
Madarasa hayo yapo acha ubishiHakuna darasa la 10m. Angalau ungesema 20m
Unataka wakimbie mzee? Watu wako kwneye mfungo halaf unalisha kasongo?Kitimoto hAkuna?
Tembea uone ,Laki 5 wapoSasa fanya mar 400 hiyo hela yote hata kama ni mshahara wake bado nyingi mno hugu inatakiwa takukuru ikamhoji kaipata wapi hela
Ng'ombe laki 5? Hata ngurue haiuzwi bei hiyo
40MNimeona huko mkoani Arusha mkuu wa mkoa huo kachicha ng'ombe 400 watu wale nyama bure bila malipo yoyote.
Hapa nimejiuliza hivi ng'ombe 400 watakua na thamani ya bei gani na kwa nini kafanya hivyo ana lengo gani!hata kama katumia hela yake?
Binafsi ningekuwepo nisingekula