Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa fanya mar 400 hiyo hela yote hata kama ni mshahara wake bado nyingi mno hugu inatakiwa takukuru ikamhoji kaipata wapi hela yote hiyobei ya chini milioni na ukiweka pesa ya serikali inakuwa kila pesa ya ng'ombe na washenzi ni milioni 3
Sasa fanya mar 400 hiyo hela yote hata kama ni mshahara wake bado nyingi mno hugu inatakiwa takukuru ikamhoji kaipata wapi helabei ya chini milioni na ukiweka pesa ya serikali inakuwa kila pesa ya ng'ombe na washenzi ni milioni 3
Ng'ombe laki 5? Hata ngurue haiuzwi bei hiyoKakadiria laki 5
2025 RUSHWA TAKO KUNGURU AKA TAKUKURU WIZI NI SABABU NI CCMSasa fanya mar 400 hiyo hela yote hata kama ni mshahara wake bado nyingi mno hugu inatakiwa takukuru ikamhoji kaipata wapi hela yote hiyo
Kwa mwandiko huu…. Hata kiwanja hunaela ndogo sana haijengi ata nyumba
Ndio kazi yakeZimeliwa bure helanzote hizo hat kama ni mshahara bado nyingi mno
Nitumie mzee nkuletee ngombe 700 kwa laki tatuHAkuna wa bei hiyo
Kanda ya ziwa wote wanafanana tu na isitoshe ni jirani zake wa karibuIla makonda Kama muhaya 🙌🏾
Imenishanga sana1 × 400 = mil 400
Binafsi nimechukizwa na hili jambo najua kuna watu wamapitia changamoto angeweza kuwatakatia hata Bima za Afya kuliko kuchoma Nyama ambayo mtu anakula na kesho anaamka na njaa.
Tunaharibu sana pesa kiukweli ni vile hatuna visionary leaders
View attachment 3262906
Itakua kabisa😹Kanda ya ziwa wote wanafanana tu na isitoshe ni jirani zake wa karibu
Hao Ng'ombe tu , vipi gharama zingineLabda kama ni ndama, ng'ombe kweli kweli ni milioni 1
1×400= 400m
Madarasa 40 ya shilingi milioni 10@