Hivi kwa haraka haraka ng'ombe 400 watakua ni bei gani

Hivi kwa haraka haraka ng'ombe 400 watakua ni bei gani

Nimeona huko mkoani Arusha mkuu wa mkoa huo kachicha ng'ombe 400 watu wale nyama bure bila malipo yoyote.

Hapa nimejiuliza hivi ng'ombe 400 watakua na thamani ya bei gani na kwa nini kafanya hivyo ana lengo gani!hata kama katumia hela yake?

Binafsi ningekuwepo nisingekula
Kwa bei ya magadala yaweza kuwa Tsh. 160,000,000/-.
Kwa mtu mkwasi hiyo yaweza kuwa ni hela ya mboga na ndiyo maana imenunulia mboga.
 
Kama ni wale Ankole (wenye pembe ndefu na hawana nundu). Gharama yake ni kwenye sh 320m kwa wastani wa sh 800,000 /= kila ng'ombe na kama ni hawa Zebu (wenye nundu na umbile dogo na pembe fupi) ni sh 200 m. Kwa wastani wa sh 500, 000/= kwa ng'ombe. Bei hizi ni huko poli la Buligi.
Wanazidi ng'ombe hadi milioni na laki 3 huko hiyo bei unayosemani bei ya ndama wa miezi 5 mpaka 6
 
Wengi humu wajinga sana. Hao ng'ombe hanunui makonda, kama chadema wanavyochanga wengine hadi milioni tone tone, na hivo hivo ndio makonda, wapo wakina dons lounge, aces, wako wakina geordavie, wapo wenye arusha yao. Bro ng'ombe 400 wanapatikana tena wachache. Makonda ana watu zaidi ya hao, watu wazito tena wazito saaaana.
Kuna watu hizi kashkash wanazipenda. Acheni ushamba.
Mnapiga hesabu eti ng'ombe sijui, bei gani? Mara ingejengewa hospitali😂😂😂😂😂.
Watu bwana.
 
Wengi humu wajinga sana. Hao ng'ombe hanunui makonda, kama chadema wanavyochanga wengine hadi milioni tone tone, na hivo hivo ndio makonda, wapo wakina dons lounge, aces, wako wakina geordavie, wapo wenye arusha yao. Bro ng'ombe 400 wanapatikana tena wachache. Makonda ana watu zaidi ya hao, watu wazito tena wazito saaaana.
Kuna watu hizi kashkash wanazipenda. Acheni ushamba.
Mnapiga hesabu eti ng'ombe sijui, bei gani? Mara ingejengewa hospitali😂😂😂😂😂.
Watu bwana.
Wewe ni mmoja ya wanufaika wa ccm.mada zako nyingi nimekuchambua kama AI.
Na pili ujifanya kama unachangamoto kujifanya wengine wanapitia kumbe sio katika utafutaji.
 
ela ndogo sana haijengi ata nyumba
mfano Ng'ombe mmoja akawa ana bei ya Tsh laki 2..
Kwa 400 inakuwa ni Milioni 80..

Anyway nisikuchulie serious sana maana wanasema kwenye watanzania wanne mmoja ana ugonjwa wa Akili.
 
Wewe ni mmoja ya wanufaika wa ccm.mada zako nyingi nimekuchambua kama AI.
Na pili ujifanya kama unachangamoto kujifanya wengine wanapitia kumbe sio katika utafutaji.
Tajiri, yaani wewe huna la kuniambia mimi, obvious mimi ni ccm, leo mpaka kufs kwangu. And i am proud kuwa chama hiki. Sema usemavyo, wewe huna la kuniambia, na sijamtetea makonda au kumuongelea kwasababu mimi ni ccm au yeye ni ccm.
Ila nimeongelea kwa muktadha uliopo, na ninavyoelewa mambo yanavyoenda. Wewe na washamba wenzako, kama mnataka watu wasile nyama ya ng'ombe it's upto you. Tafuta wewe hela ya ng'ombe mia nne. Kajenge hospitali yako.
 
Ng'ombe 400 kwenye makaratasi
Ila wanaochoma wanasema ni wanyama pori
Au mimi nimeona sherehe nyingine hapo
 
Hata kufuatilia vitu visivyo kuhusu ni dalili moja wapo.
mfano Ng'ombe mmoja akawa ana bei ya Tsh laki 2..
Kwa 400 inakuwa ni Milioni 80..

Anyway nisikuchulie serious sana maana wanasema kwenye watanzania wanne mmoja ana ugonjwa wa Akili.
 
Nimeona huko mkoani Arusha mkuu wa mkoa huo kachicha ng'ombe 400 watu wale nyama bure bila malipo yoyote.

Hapa nimejiuliza hivi ng'ombe 400 watakua na thamani ya bei gani na kwa nini kafanya hivyo ana lengo gani!hata kama katumia hela yake?

Binafsi ningekuwepo nisingekula
Siyo hela ya umma, ni wadau wake, kwa Arusha hiyo ni issue ndogo ku-organise, hata kama ni ya serikali ni ka hela kadogo sana,
 
Back
Top Bottom